Ebeneza2018
Member
- Oct 8, 2017
- 11
- 11
- Thread starter
-
- #21
AsanteHapatikani popote, kama anapatikana popote nenda kachukue Buguruni.
Kama uko serious kuoa huwezi kuoa ndani ya muda mrefu hivyo,kuoa unatakiwa kupanga lengo la muda na hakikisha unaanza hivi
1. Urafiki miezi sita kwenda juu(msiwe karibu sana)
2. Tangaza uchumba baada ya kuona urafiki umekua vizuri na mnaendana baadhi ya mambo(usiombe ngono)
3. Fuata vigezo vya uoaji na uoe utakuwa umeisha mwaka naaa...
4. Mkipeana ngono mjuae kuoana itakuwa ni maamuzi sio upendo tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madogo fursa hiiHii style ya kuandika umri siku hizi
Dah! Malaya tena!Huu ni ujinga wa kiwango cha juu mno! Kuna tofauti gani ukipata malaya wa Arusha na wewe unawakataa malaya wa Dar?
Humu utapata malaya ambao hata huko kwenu wapo!
Nategemea utakuja na nyuzi nyingi ukisha mpata mke humu,
Tutakushauri tena!
Naomba kuwasilisha mheshimiwa Mwenyekiti[emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimeshazeeka ma mdogoMadogo fursa hii
Hahaa ..bangi Sana wewe ..hiyo id itakuwa ni yako ..yaani umetoa post na kuji jibu mwenyewe ..unajitkenya na kucheka mwenyewe ..
Nyau wee
Awe anajituma kitandani na ....Habari zenu wapendwa wa jf ,jina naitwa cirmick naishi morogoro, umri wangu ni miaka 30-40,elimu yangu ninashahada ya kwanza,dini mkristu,mzaliwa wa hapahapa Tanzania,kazi nimeajiriwa,
Mke nimtakaye
Awe na umri wa miaka 27-40,
Dini yeyote,kabila lolote,awe na elimu ya chuo kikuu,awe anapatika a mahali popote Tanzania .Awe anajituma nakutambua thamani ya ndoa,awe na hofu ya Mungu.
Kama unahitaji tuwasiliane kwa namba 0689425236 au ni pm asante.N:B kama upo serious nitafute kwani nipo serious kwa hilo.Asanteni sana.
Umeonaaa et 30__40 ndiyo nini sasa,ukifuatilia unakuta ana 50Hii style ya kuandika umri siku hizi