Natafuta mke wa kuoa mwaka huu

Asante
 
Dah! Malaya tena!
 
Kama wewe ni single lady na upo tayari kwa relation-ship, gonga like hapa nita ku pm my business card tuwasiliane😍😍❤
 
Kila la heri...Kuwa makini tuu maana kuna kina Juma Lokole nao watakufuata PM...!!
 
Wewe sio hearly kweli umekuja na New ID,

Yaani mgeni alafu unajua na PM

CC Zero IQ
Hahaa ..bangi Sana wewe ..hiyo id itakuwa ni yako ..yaani umetoa post na kuji jibu mwenyewe ..unajitkenya na kucheka mwenyewe ..

Mkuu mimi hata niwe na shida ya mke kiasi gani ..siwezi kuleta bandiko humu
 
Awe anajituma kitandani na ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jf kuna vi underground vingi sana, huwa havi comment chochote, ila tangaza unatafuta mchumba hapo ndiyo utajua kuwa jf kuna member wengi sana na kale kamsemo kuwa women outnumber men.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…