Ndoa yenye upako
Member
- Apr 10, 2018
- 6
- 0
Habari, natafuta mke wakuoa nitakaye ishi naye kwa furaha kwani ndiye atakua chaguo langu. Awe tayari kupima HIV, asiwe mlevi, mcha Mungu, awe na mapenzi ya dhati, asiwe na mtoto, umri 20-31.Karibu uni pm tuyajenge