We Katto acha uongo, Sema unataka wa kupiga na kuchakaza siku mbili, tatu. Wasichana kibao mjini wanatafuta wanaume wa kuwaoa...!! Nenda Badoo huko wapo kibao
Mimi ni mwanaume wa umri wa miaka 30 natafuta mke wa kuoa awe na umri wa miaka 22 mpaka 26 awe amefika kidato cha nne kuendelea mm nimeajiriwa serikalini, aliye tayari tuwasiliane pm please.
husika na kichwa cha habari hapo Juu
mm ni mwanaume wa umri wa miaka 30 natafuta mke wa kuoa awe na umri wa miaka 22 mpaka 26 awe amefika kidato cha nne kuendelea awe mkristo mm nimeajiriwa serikalini aliye tayari tuwasiliane pm please
Mimi ni mwanaume wa miaka 30yrs, nimeajiriwa serikalini, natafuta mchumba ambaye atakuwa mke wangu awe na umri wa miaka 22 mpaka 26, dini mkristo awe na shughuli ya kufanya elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea.