tatz liko wap?mbona huyu jamaa kila siku anatafuta mke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatz liko wap?mbona huyu jamaa kila siku anatafuta mke?
[emoji4][emoji4]Nimejikuta nafuatilia . . .hii ni thread yako ya 25 unatafuta mke
Kwani kipenzi una tatizo gani hadi unashindwa kupata huko ulipo?[/QUOTE
Hizo threads zote 25 nimeziona kwa ID hii hii. . .sina uhakika kama huwa anabadili username ama lahDuuhhh hayupo serious maana anacho fanya anabadilisha2 USERNAME
loh 25? mkubali tu jamaniNimejikuta nafuatilia . . .hii ni thread yako ya 25 unatafuta mke
Kwani kipenzi una tatizo gani hadi unashindwa kupata huko ulipo?
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu hujasema dini yako,wala ya unayemtaka[emoji23][emoji23]
paul
Kwani wewe unataka kuolewa na serikali ama department..!?Unafanya Kazi ngani serikalin na uko department ngani?
halafu huyu mimi nilimwambia aje inbox hakuja, sasa anataka mke wa aina gani? na unataka aliye sirious wakati wewe mwenyewe hauko sirious? ungekuwa sirious si ungekuja in box? ACHA KUJOKI WATU HAPAMimi ni kijana wa miaka 30 nimeajiliwa serikalini natafuta msichana kuishi nae mungu akijaalia awe mke Wangu umri kuanzia miaka 20 mpaka 26 awe na shughuli yoyote halali alive serious tuwasiliane pm plz
Yeye kasema muwasiliane pm, ungemfuata tu mkuu.halafu huyu mimi nilimwambia aje inbox hakuja, sasa anataka mke wa aina gani? na unataka aliye sirious wakati wewe mwenyewe hauko sirious? ungekuwa sirious si ungekuja in box? ACHA KUJOKI WATU HAPA
wew muongo wala hauna shida ya mke, bt wataka kufanya jokingi tu gapa, kwani kama ungekuwa na uhitaji wa mke hebu angali katika post zako, je! hakuna coment ambayo mimi nimekoment na kukuambia kuwa uje in box? je! ulikuja? au huyo mke unayemtaka wewe ni mke wa aina gani? JINI AU? ACHA KUZINGUA WATUMimi ni kijana wa miaka 30 nimeajiliwa serikalini natafuta msichana kuishi nae mungu akijaalia awe mke Wangu umri kuanzia miaka 20 mpaka 26 awe na shughuli yoyote halali alive serious tuwasiliane pm plz
Si kila anaetaka mke au Mume a amaanishawew muongo wala hauna shida ya mke, bt wataka kufanya jokingi tu gapa, kwani kama ungekuwa na uhitaji wa mke hebu angali katika post zako, je! hakuna coment ambayo mimi nimekoment na kukuambia kuwa uje in box? je! ulikuja? au huyo mke unayemtaka wewe ni mke wa aina gani? JINI AU? ACHA KUZINGUA WATU
sasa si ungemfuata pm tu?, mbona amesema anaye taka amzukie!!wew muongo wala hauna shida ya mke, bt wataka kufanya jokingi tu gapa, kwani kama ungekuwa na uhitaji wa mke hebu angali katika post zako, je! hakuna coment ambayo mimi nimekoment na kukuambia kuwa uje in box? je! ulikuja? au huyo mke unayemtaka wewe ni mke wa aina gani? JINI AU? ACHA KUZINGUA WATU