Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipoHusika na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni mwanaume wa umri wa miaka 30 natafuta mke wa kuoa awe na umri wa miaka 22 mpaka 26 awe amefika kidato cha nne kuendelea mm nimeajiriwa serikalini, aliye tayari tuwasiliane pm please.
Njoo moja kwa moja PM mama tuyajenge niko serious kabisa!!!Mimi hapa njoo pm
nichek in box tuzungumzeMimi ni mwanaume wa miaka 30 nimeajiriwa serikalini natafuta msichana wa kuishi nae awe na miaka 22 mpaka 28 awe mkristo elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea awe na shughuli yoyote ya kufanya aliye interested tuwasiliane pm
njoo in boxMimi ni mwanaume wa miaka 30 nimeajiriwa serikalini natafuta msichana wa kuishi nae awe na miaka 22 mpaka 28 awe mkristo elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea awe na shughuli yoyote ya kufanya aliye interested tuwasiliane pm
Ashindwe tunjoo in box
nichek in box tuzungumze
Ashindwe tu
umeona eheeAshindwe tu
Sema umem direct yeye,umeona ehee
hahahah ndio umtafutie mmoja umpeAcha ubwege we we njoo kimbiji uku waliwa kingindo kibao
mbona huyu jamaa kila siku anatafuta mke?hahahah ndio umtafutie mmoja umpe
hahahhh tatizo anaonekana ana command nahisi atakua mjeda anatakiwa ajue kwenye mapenzi unatakiwa ujibebishembona huyu jamaa kila siku anatafuta mke?