Natafuta mke wa kuoa

jaribu bahat mkuu... ila ungewaondolea umri.. wengi ni 28+
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Mimi ni mwanaume wa umri wa miaka 30 natafuta mke wa kuoa awe na umri wa miaka 22 mpaka 26 awe amefika kidato cha nne kuendelea mm nimeajiriwa serikalini, aliye tayari tuwasiliane pm please.
nipo
 
we boya kibehe acha kiherehere
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 30 nimeajiriwa serikalini natafuta msichana wa kuishi nae awe na miaka 22 mpaka 28 awe mkristo elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea awe na shughuli yoyote ya kufanya.

Aliye interested tuwasiliane pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…