mega5
Member
- Mar 27, 2019
- 30
- 23
Mimi ni mume mtrajiwa
Umri 42
Urefu futi 6.2
65kg
Maji ya kunde
Naishi na kufanyakazi temeke/dar
Elimu-degree
-Nina hasira japo fupi
-Nina katabia ka kug'ang'ania
-wakati mwingine ni mchokoz kidogo
VINGINEVYO Mimi ni mpole na mkarimu
Natafuta aliyejiandaa kuolewa(MKE)
Aliyeelimika(hekima)
Mrefu,Umri 20 hadi 38
Asiwe au awe na mtoto
Asiwe au awe na kazi/biashara-ok.
Awe na kazi au kitu anachofanya kanisani
Asinifiche udhaifu wake
Awe Christian ,awe au asiwe na kabila
Tuwe serious tafadhali na sihitaji wa kuonja
Nathamini kila mdonyoo wa kidole chako
Asanteni,karibu ,tukutane pm .
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri 42
Urefu futi 6.2
65kg
Maji ya kunde
Naishi na kufanyakazi temeke/dar
Elimu-degree
-Nina hasira japo fupi
-Nina katabia ka kug'ang'ania
-wakati mwingine ni mchokoz kidogo
VINGINEVYO Mimi ni mpole na mkarimu
Natafuta aliyejiandaa kuolewa(MKE)
Aliyeelimika(hekima)
Mrefu,Umri 20 hadi 38
Asiwe au awe na mtoto
Asiwe au awe na kazi/biashara-ok.
Awe na kazi au kitu anachofanya kanisani
Asinifiche udhaifu wake
Awe Christian ,awe au asiwe na kabila
Tuwe serious tafadhali na sihitaji wa kuonja
Nathamini kila mdonyoo wa kidole chako
Asanteni,karibu ,tukutane pm .
Sent using Jamii Forums mobile app