Mzee siko tayari kununua mwanamke then nikiwa sina kitu tuanze kusumbuana ndo mana nataka mwenye hizo sifa mzee najua atakua anajitambua tayariSaiv utapoteza mda wako mwing kubebeleza we funguka toa kitita ubaili uache watakuja weng mpka utanza kuchagua
Upoje 🤣 🤣 🤣Bahati nyingine za shetani 😂
Kama mpingo 🤣🤣🤣Upoje 🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama mpingo 🤣🤣🤣
AsanteeeUsijari utapata wa kufanana naye
Nipo hapa mama! Kwa jina naitwa Maiko Tyson Shekighenda. Ni mweupe kama theluji! Mrefu kama ngongoti! Mzee wa makamo! Mstaafu mwenye mafao yake!Akitokea Maiko msisite kuniita 😂
Swali istikhara Allah atakujaalia mke mwemaMimi ni mwanaume wa miaka 27
Rangi - Mweusi.
Dini - Muislam.
Elimu - Shahada kwenye Nursing.
Ajira - Sijaajiriwa kwasasa, ni mjasiliamali.
Natafuta mke:
~ Awe Muislamu [emoji3521].
~ Awe na uwezo wa kufanya na kusimamia biashara.
~ Rangi - Maji ya kunde angalau ili tukileta kizazi kipya kiwe katikati [emoji1].
~ Awe anajua dini walau awe kamaliza juzuu 1.
~ Awe tayari kuishi kokote nje na ndani ya Tanzania.
Nyongeza, elimu ya kompyuta, kama hawezi basi awe tayari kujifunza.
Ahsante. View attachment 2424880
Kuna maisha baada ya ndoa kumlisha mtu hadi aje kukata roho ni kaziMimi ni mwanaume wa miaka 27
Rangi - Mweusi.
Dini - Muislam.
Elimu - Shahada kwenye Nursing.
Ajira - Sijaajiriwa kwasasa, ni mjasiliamali.
Natafuta mke:
~ Awe Muislamu [emoji3521].
~ Awe na uwezo wa kufanya na kusimamia biashara.
~ Rangi - Maji ya kunde angalau ili tukileta kizazi kipya kiwe katikati [emoji1].
~ Awe anajua dini walau awe kamaliza juzuu 1.
~ Awe tayari kuishi kokote nje na ndani ya Tanzania.
Nyongeza, elimu ya kompyuta, kama hawezi basi awe tayari kujifunza.
Ahsante. View attachment 2424880
Ni kweli bana mtu unakula kama fundi ujenziiiiiii
Mume mwema bado hajatokeeeaa 🤣🤸Ni kweli bana mtu unakula kama fundi ujenziiiiiii
Naomba uoreweeeeee😒
Bado umeniwekea gingi hunitaki? Ipo siku nitapata hela sikilizia kidogo tuuMume mwema bado hajatokeeeaa 🤣🤸
Njoo PM mkuuNaitwa Debora [emoji1787]
Kuna nn?Njoo PM mkuu
Njoo pmAkitokea Maiko msisite kuniita [emoji23]
SitakiNjoo pm