Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Saiv utapoteza mda wako mwing kubebeleza we funguka toa kitita ubaili uache watakuja weng mpka utanza kuchagua
Mzee siko tayari kununua mwanamke then nikiwa sina kitu tuanze kusumbuana ndo mana nataka mwenye hizo sifa mzee najua atakua anajitambua tayari
 
Akitokea Maiko msisite kuniita 😂
Nipo hapa mama! Kwa jina naitwa Maiko Tyson Shekighenda. Ni mweupe kama theluji! Mrefu kama ngongoti! Mzee wa makamo! Mstaafu mwenye mafao yake!

Huku kijijini wamezoea fundi Maiko. Maana ninajishughulisha pia na ufundi wa kutengeneza majiko ya mkaa.
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 27
Rangi - Mweusi.
Dini - Muislam.
Elimu - Shahada kwenye Nursing.
Ajira - Sijaajiriwa kwasasa, ni mjasiliamali.

Natafuta mke:
~ Awe Muislamu [emoji3521].
~ Awe na uwezo wa kufanya na kusimamia biashara.
~ Rangi - Maji ya kunde angalau ili tukileta kizazi kipya kiwe katikati [emoji1].
~ Awe anajua dini walau awe kamaliza juzuu 1.
~ Awe tayari kuishi kokote nje na ndani ya Tanzania.

Nyongeza, elimu ya kompyuta, kama hawezi basi awe tayari kujifunza.

Ahsante. View attachment 2424880
Swali istikhara Allah atakujaalia mke mwema
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 27
Rangi - Mweusi.
Dini - Muislam.
Elimu - Shahada kwenye Nursing.
Ajira - Sijaajiriwa kwasasa, ni mjasiliamali.

Natafuta mke:
~ Awe Muislamu [emoji3521].
~ Awe na uwezo wa kufanya na kusimamia biashara.
~ Rangi - Maji ya kunde angalau ili tukileta kizazi kipya kiwe katikati [emoji1].
~ Awe anajua dini walau awe kamaliza juzuu 1.
~ Awe tayari kuishi kokote nje na ndani ya Tanzania.

Nyongeza, elimu ya kompyuta, kama hawezi basi awe tayari kujifunza.

Ahsante. View attachment 2424880
Kuna maisha baada ya ndoa kumlisha mtu hadi aje kukata roho ni kazi
 
Back
Top Bottom