Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Mimi ni mwanaume wa miaka 27, ninatafuta mke wangu/mwenza wangu wa maisha.
Muonekano wangu.
Urefu- Mrefu Kiasi
Rangi- Maji ya kunde
-Sio mnene wa sio mwembamba (umbo la kawaida)
Elimu yangu- Degree
Kazi- Mtumishi (Taasis Binafsi)

Sifa za ninae Mtafuta.
Rangi- Yoyote.
Miaka - Kuanzia 22 na kuendelea.
-Awe amejiajiri au muajiriwa.

* Single parent ( single mother) namkubali pia

-Awe na Elimu yoyote.
-Awe anapenda marafiki na ndugu zangu
Karibu sana.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Edited una miaka 27
Original thread waliyokukwoti mwqnzo una 34
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 27, ninatafuta mke wangu/mwenza wangu wa maisha.
Muonekano wangu.
Urefu- Mrefu Kiasi
Rangi- Maji ya kunde
-Sio mnene wa sio mwembamba (umbo la kawaida)
Elimu yangu- Degree
Kazi- Mtumishi (Taasis Binafsi)

Sifa za ninae Mtafuta.
Rangi- Yoyote.
Miaka - Kuanzia 22 na kuendelea.
-Awe amejiajiri au muajiriwa.

* Single parent ( single mother) namkubali pia

-Awe na Elimu yoyote.
-Awe anapenda marafiki na ndugu zangu
Karibu sana.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Single maza awe na watoto wangapi [emoji23]
 
Ni kweli angeacha tu Kuna tunaopenda waliotuzid sana umri😀
Sasa anadanganya nini? Haoni anaweka doa 🤣😂

Afu raha mpishane kiasi
Sa sijui kwanini hajajiamini
 
Sikutishi hila nakwambia ukweli kwa umri wako uhuu ujaona wanawake kote uko mpaka utafute uku ?

Jiamini bro kama unataka mke mzuri angalia campan yak na pia sehemu zako unazotembelea

Uku wengi id fake aya ukija muoa si maisha yatakuwa fake?
Usihukumu but Kuna ukweli .
Hata wangu sijampata humu nimempata else where
 
Wakuu bado sijampata mtu sahihi
Wacha humu Kwa wadada ni ngumu washapigwa matukio hadi wanaogopa Tena kujiachia huru wapo tele wapo single ila matukio Sasa waliopigwa majanga pole zako .


Ila Mungu yupo anaona ikifika wakati atakubariki na wakufanana naye .
 
Umri wa 22 ni ndoto kupata humu bado wanadanga , halafu serious humu ni 28-40 wanakazi zao vibiashara wengine ni singlemother wanajitahidi na hali zao
 
Back
Top Bottom