Natafuta mke wa kuoa

Niamini mimi, Humu jamii forum utapata wanawake vichomi pasua kichwa na wadangaji, au usipate kabisa mdada Atakaekuja pm kwako, au atakaekujibu pm mkafikia muafaka mzuri, hakuna mwanamke atakaekuchukulia serious humu sebsdtian
Sasa mbona sisi wa jf ndio wa mtaani!!kama Mimi mtaani ni waifuu matilio ila jf kichomi matilio.....
 
Mwanaume kutafuta mke kwenye mitandaoni are you serious au una kasoro gani.
 
Umri wangu ni miaka 30, kwa sasa natafuta mke wa kuoa awe na Umri 18 - 35 awe mkristo

Awe amezaa watoto wasiozidi 2.
DAH! Mim ambae sina mtoto nishakosa teyar[emoji1][emoji2][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…