Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awe ana ela au mama WA nyumbaniUmri wangu ni miaka 30, kwa sasa natafuta mke wa kuoa awe na Umri 18 - 35 awe mkristo
Awe amezaa watoto wasiozidi 2.
Kwa hiyo unafikiri wanawake wa siku watakuwa sawa na mamako? Waweza kuvaa uhusika wa huyo baba wa kambo? Mi nimeshindwa jamaa aliyemwoa mwanamke mwenye watoto wawili baada ya kufiwa na mke wake. Yule single baada ya kuolewa hakumzalia yule jamaa hata mtoto moja ila walibaki kulea wale watoto wake. Wale watoto baada ya kukua na kumaliza masomo waliajiriwa, wote wa kiume. Cha kwanza walichofanya ni kumtafuta baba yao mzazi na kumwacha yule baba wa kambo solemba. Walibadili na majina. Sikiliza ushauri unaopewa watu wana uzoefu. Shauri yako we shupaza shingoNipo serious mkuu, mi nilikuzwa na baba wa kambo so ni zamu yngu kulipa fadhira kwa kumtendea mwingine yale mazur nilotendewa.
Ana Morgan SIo wewe ulikua unalia somewea biashara haziendi umekata tamaaa mwe mwesasa hivi unatafuta kuchunwa?Mi natafuta danga la kunichuna nishaanza kupata pata vihela
Ya walimwengu utayaweza....tunawaangalia tu wakitudissMtoto ni baraka
Wapo ambao walipata ajali na kuharibikiwa mfumo wa uzazi, walitaman wapete watoto pia
Hautendi wema Ili ulipwe huo si wema ila unafki..... mtoto wako wa kumzaa aweza kukugeuka pia mkuu....punguza ubinafsi.....duniani hatuishi daima.Rainisha moyoKwa hiyo unafikiri wanawake wa siku watakuwa sawa na mamako? Waweza kuvaa uhusika wa huyo baba wa kambo? Mi nimeshindwa jamaa aliyemwoa mwanamke mwenye watoto wawili baada ya kufiwa na mke wake. Yule single baada ya kuolewa hakumzalia yule jamaa hata mtoto moja ila walibaki kulea wale watoto wake. Wale watoto baada ya kukua na kumaliza masomo waliajiriwa, wote wa kiume. Cha kwanza walichofanya ni kumtafuta baba yao mzazi na kumwacha yule baba wa kambo solemba. Walibadili na majina. Sikiliza ushauri unaopewa watu wana uzoefu. Shauri yako we shupaza shingo
Kuna maneno uliniambiaga niliyatafakari moezi.To yeye usijesema huna bahati. mwamba huyo yupo ready kujitosa kwa single mother
Kuna watu wengi sana wanatoa ushauri jinsi ya kupata pesa na kuwa matajiri na wana uzoefu lakin bado si wote wanaofata ushauri huo wanazipata hizo pesa na kuwa matajiri piaKwa hiyo unafikiri wanawake wa siku watakuwa sawa na mamako? Waweza kuvaa uhusika wa huyo baba wa kambo? Mi nimeshindwa jamaa aliyemwoa mwanamke mwenye watoto wawili baada ya kufiwa na mke wake. Yule single baada ya kuolewa hakumzalia yule jamaa hata mtoto moja ila walibaki kulea wale watoto wake. Wale watoto baada ya kukua na kumaliza masomo waliajiriwa, wote wa kiume. Cha kwanza walichofanya ni kumtafuta baba yao mzazi na kumwacha yule baba wa kambo solemba. Walibadili na majina. Sikiliza ushauri unaopewa watu wana uzoefu. Shauri yako we shupaza shingo
Nimekosea kuandika.nilimaanisha awe anajishuhulisha au hajishuhulishiHela si kigezo, vigezo ni hivyo hapo nimetaja pekee