Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Go ahead young man😎Kufa siri ya Mwenyezi Mungu, unaweza kutaka kufa mapema na usife na unaweza kukwepa kufa mapema na ukafa.
Mhh ID mpya ushapigwa matukio tyari mpka ya kilaghaiJf ni ulaghai bro....humu tuwe tunacheka tu
Kwani ninayo ingine zaidi ya hii mkuu?Mhh ID mpya ushapigwa matukio tyari mpka ya kilaghai
Ndo maana nikatangaza mkuu kama hapa nilipo wapo hawazuiliwi kunichek inbox, ama hao unaosemea walizuiliwa kuingia JF
Dah pole sana jamani. Maneno gani hayo ?Kuna maneno uliniambiaga niliyatafakari moezi.
Yaani kukaaa kufua boxer za mtu mpaka vidole vinuke gololi?
Imagine same dick forever?
Imagine kumfanyia mambo yoote mtu mzima mwenye meno 32 na Bado akupige,akucheat....
Ndoa ni upuuuuzi uliotikizwa sana...
Labda ukibahatika kupata bahati
Sio mimDah pole sana jamani. Maneno gani hayo ?
Kweli ubahatike maana ni majanga.Sio mim
Natoa hoja tu...ndoa ubahatike
AsantePole
Ukibahatika WA kumpata WA kutengeneza nae,,,,,Kuna vichwa omba sana Mungu....SI umeiona video ya yule dj WA Kenya ana mrekod make wake akinywa sumuHakuna bahati kwenye ndoa ukifanya mambo ambayo yatapelekea ndoa kuvunjika itavunjika kweli.
Kwahyo ndoa utengenezwa na wanandoa wenyewe
Ndio nimeiona lakin hakupaswa kufanya hivyo kila binadam ana mapungufu yke hivyo kueleweshana na kuvumiliana ni jambo jema katika ndoaUkibahatika WA kumpata WA kutengeneza nae,,,,,Kuna vichwa omba sana Mungu....SI umeiona video ya yule dj WA Kenya ana mrekod make wake akinywa sumu
😂😂😂Hivyo vigezo upo serious, au ndio unataka kupima humu JF wapo wangapi?
Acha tuHivyo vigezo upo serious, au ndio unataka kupima humu JF wapo wangapi?