Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli utapata tu ila njee ya hapa kama hujapata mkoani kwenu katembee sehemu ingineNpo serious aty
YesEty ehee
Tuhuma zako umezipata lakini? Kutoka kwa bwana ITS PLENTY
Kaa chonjo na hizi fake id utaja lia na kusaga meno 😁😁😁😁Tuhuma zako umezipata lakini? Kutoka kwa bwana ITS PLENTY
Nani huyo mie simjui ninachojua ni maisha yangu ndio nayajua tu.Tuhuma zako umezipata lakini? Kutoka kwa bwana ITS PLENTY
Daah eti najua maisha haya banaNani huyo mie simjui ninachojua ni maisha yangu ndio nayajua tu.
Humu simo sana . Couse mie nipo busy na watu wanao onekana
Usijali mkuu sifi JITU hapaKaa chonjo na hizi fake id utaja lia na kusaga meno [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
No situation is permanent mambo yanabadilika masai dada.Ana Morgan SIo wewe ulikua unalia somewea biashara haziendi umekata tamaaa mwe mwesasa hivi unatafuta kuchunwa?
Kuna maneno uliniambiaga niliyatafakari moezi.
Yaani kukaaa kufua boxer za mtu mpaka vidole vinuke gololi?
Imagine same dick forever?
Imagine kumfanyia mambo yoote mtu mzima mwenye meno 32 na Bado akupige,akucheat....
Ndoa ni upuuuuzi uliotikizwa sana...
Labda ukibahatika kupata bahati
Umri wangu ni miaka 30, kwa sasa natafuta mke wa kuoa awe na Umri 18 - 35 awe mkristo
Awe amezaa watoto wasiozidi 2.
🤣🤣🤣Yaani kukaaa kufua boxer za mtu mpaka vidole vinuke gololi?
Imagine same dick forever?
Mesikitishwa sana 😥Acha tu
Ooh so sad, mkuu mbona wanakuja PM kibao na tunayajenga mwisho wa siku lazima nibaki na mmoja this is what i tell them and they understand,Niamini mimi, Humu jamii forum utapata wanawake vichomi pasua kichwa na wadangaji, au usipate kabisa mdada Atakaekuja pm kwako, au atakaekujibu pm mkafikia muafaka mzuri, hakuna mwanamke atakaekuchukulia serious humu sebsdtian