HSE Officer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 665
- 892
- Thread starter
-
- #141
Yuko wapDah kuna bint namfahamu ana heshima,na upendo kwa watu pia ana busara zake tele tatizo habit umri yeye ana 22
Mzee wa kila la kher na asante kwa taarifa [emoji16]Kila la kheri...
Yupo huku mkoani nitakuunganisha nae muwasiliane mkiridhiana msiache kutupa kadiYuko wap
BadoUlishapata ??
oya hilo jina lako nimecheka kinoma.
dunia haiishi vituko aisee
NileteeUlishapata ??
😀 mkuu msigwa nilishaondoka kuleMkuu aje? Uko Mbeya bado? Nlikua napitia msg za 2016..nikakukumbuka[emoji38]
[emoji3] mkuu msigwa nilishaondoka kule