Pm yangu inashida natafuta kijana wa IT airekebishe.Fungua PM...
Huku kwenye uzi tumwachie mwenye uzi awafanyie interview anaowataka...
Pm yangu inashida natafuta kijana wa IT airekebishe.
Utaimbishwa mpaka ukomeHaya mambo haya ππππππππ
Ata Baki Kama sanamu la posta π€π€£Mbabe sanaaaaaaa π
eleza sababu ilikuaje mkaachana, ni wewe chanzo cha kuachana au yeye?Alishaolewa Mwaka 2021
Eid Mubarak..!ππ
Basi umekosa kunijua nje ya hapa...
Ingawa najua hilo la PM ni fiksi tu sababu hata yangu ipo private kama wewe...
Single foreverAta Baki Kama sanamu la posta π€π€£
πππππFursa hiyo dada zetu huyu sio wale wa KATAA NDOA
Tuna kujua uta sumbua tu ππ€£Kikao kimekuwa kirefu hamtaki kunipa nafasi why?
Akiwa mwanaCCM imekaaje?Hata hivyo,Mola akuongoze upate hitaji la moyo wako.Wakuu kwema
Mimi ni kijana umri Wa miaka 31
Elimu: Bachelor degree ya Computer Science
Kazi: Software developer
Nimeajiriwa
Tayari Nina Mtoto Mmoja Wa kiume.
Rangi Mweusi
Urefu 5.9
Dini Mkristo
Sifa Mwanamke ninayemhitaji
Umri kuanzia 25-30
Awe na hofu ya Mungu
Sihitaji sifa nyingine zaidi
Ukiwa interested ni check Dm
Isolated forever ππ€£Single forever
Eid Mubarak..!π
Sehemu ganiπ€Sijui wanavyoijibu, lakini iwe njema kwako pia ephen_
Siku moja nitakuibukia ile sehemu yako π