Natafuta mke wa kuoa

5.9 feet mzee wewe ni mrefu, yaani wewe ni mrefu sana mkuu. Sitaki hata kusimama na watu warefu.

Hiyo age gape iko poa sana, wasshaanza kuwa desperate ukigusa tu imo.
 
Software developer πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Usijenihack bure
 
Hivi ni kweli mdau? Una matatizo gani kwani?

Najua Wanaume ni rahisi sana kupata watu wa kuwaoa.

Au mwenzetu kuna mapungufu unayaficha nyuma ya kibodi?
 
MChumba angu ataniua😎
Na atakukata masikio hayo. Siunamjua asivyopenda ujinga? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Na naenda kumfikishia hizi taarifa kwamba unatafuta mume mtandaoni
 
Huwa sijui namna wanaijibu hii salamu, ila iwe kheri kwako pia Jo...

Kipunga tunakifinya chimbo gani leo?

Nafikiri hivyo ulivyojibu ni sawa pia

Nakusikiliza wewe tajeeer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…