ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nimemwambia nipo above 30 kanikimbiza hanitakichini ya 25 sio mbaya π, anaweza akakubali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemwambia nipo above 30 kanikimbiza hanitakichini ya 25 sio mbaya π, anaweza akakubali...
Wewe ulishaolewa?
Hamuwasiliani? Mtoto unae wewe?Alishaolewa Mwaka 2021
MChumba angu ataniuaπFoji Cheti Cha kuzaliwa, unafeli wapi? π
Nimemwambia nipo above 30 kanikimbiza hanitaki
Niombe msamahaπUpo below?
Watoto mnafanya nini humu?
Hata akiwa na uzito sawa na gazeti....huwa tunawanenepesha kama broilaMbona hauja weka uzito mkuu ,
Una kg ngapi?? Wadada wa JF wengi wanapenda wanaume vibonge π€π€
Kama above, basi.Niombe msamahaπ
Yaya sio???Single dad anatafuta hausgel wa kulea mwanae. All the Best
Sipo umri huo mkuuKama ni 31 basi njoo kwangu ephen...
Upo kwenye umri sahihi wa kupata mwandani...
Usijali mkuuπKama above, basi.
Kumradhi. Nilidhani katoto. Kumbe mzee mwenzangu.
Sipo umri huo mkuu
πππππππHujasema kuhusu dini bobby..usije ukasumbua dada zetu aisee.
Yaani unahitaji mke mwenye dini yoyote?
......kwani hofu ya Mungu unayo!?.....Umri umeninyima mumeπ
πππππππ Nipo bega kwa bega na wewe..Umri wowote uliopo, sichagui kama mleta mada...as long as ni jinsia ke
Wewe unafuga ndevu kama mzee wa kiarabu, ushakosa sifaπUmri wowote uliopo, sichagui kama mleta mada...as long as ni jinsia ke
ππππMbona hauja weka uzito mkuu ,
Una kg ngapi?? Wadada wa JF wengi wanapenda wanaume vibonge π€π€