Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Tuoneshwe tuta.....😂😂😂Ndio ndio na sisi tumegoma kuanza 1-0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuoneshwe tuta.....😂😂😂Ndio ndio na sisi tumegoma kuanza 1-0
Sarakasi au? Sijaelewa🤸♀️
😎NimeghairiSarakasi au? Sijaelewa
Hayo ndio mambo unayofanyaga kwa baba cathe😎Nimeghairi
Acha ukorofiHayo ndio mambo unayofanyaga kwa baba cathe
Hii ID tunazointeract nazo Kila siku zina back up unakuta ana ID mbili au zaidi humo humo ana ya kike🤣anachat vzr kuliko tubinti twa humuKuna mmoja alikuwa anatoa ushuhuda kwenye uzi mmoja hivi nilicheka 😂😂😂
Eti jamaa alikuwa na id ya kike kuna mwamba akajitosa pm akamwambia amtumie pesa akamtumia elfu 70, alivyoomba waonane akamjibu ukome mie mwanaume mwenzio siku nyingine usirudie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
mnamkataa nini huyo kijana ni mdogo sana kiumri. Kuna midingi ina 50 na inaoa kibinti kina miaka 20 na maisha yanaenda fresh tuMdada above 25 akae mita 200 kama mlinda kura za upinzani
In term of marriage
JF ni kichaka kila siku tunawaambia lkn wabishi hawaamini 😂😂😂Hii ID tunazointeract nazo Kila siku zina back up unakuta ana ID mbili au zaidi humo humo ana ya kike🤣anachat vzr kuliko tubinti twa humu
Hivi mwanaume kamili, unaanzaje kuigiza kama mwanamke? Au unafunguaje ID ya kike? .Kuna mmoja alikuwa anatoa ushuhuda kwenye uzi mmoja hivi nilicheka 😂😂😂
Eti jamaa alikuwa na id ya kike kuna mwamba akajitosa pm akamwambia amtumie pesa akamtumia elfu 70, alivyoomba waonane akamjibu ukome mie mwanaume mwenzio siku nyingine usirudie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Mwanzoni nlikuwa mtu positive sana kuhus watu wa humu😁😁siku hyo ilikua nionane na mtu sijui shetani gn aliniambia eb Leo usilale pitia pitia threads zle za usiku nlikomaJF ni kichaka kila siku tunawaambia lkn wabishi hawaamini 😂😂😂
Halafu hiyo kitu hukuniambia hebu leo niambie ulikutana na nini winga?? 😂😂😂Mwanzoni nlikuwa mtu positive sana kuhus watu wa humu😁😁siku hyo ilikua nionane na mtu sijui shetani gn aliniambia eb Leo usilale pitia pitia threads zle za usiku nlikoma
Kutokujiamini, mwingine anafungua for fun baadae akianza kutupiwa maneno ananogewa anaanza michezo ya hovyo!!Hivi mwanaume kamili, unaanzaje kuigiza kama mwanamke? Au unafunguaje ID ya kike? .
Wakinogewa mwisho wa siku wanapitiliza mazima
Winga we miyeyusho ukute yule ntu n ww na liparody account Yako🤣🤣🤣unanizuga hapaHalafu hiyo kitu hukuniambia hebu leo niambie ulikutana na nini winga?? 😂😂😂
Sijawahi kuwa na parody humu, kwanza utanijua tyuu!!Winga we miyeyusho ukute yule ntu n ww na liparody account Yako🤣🤣🤣unanizuga hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama wa mtoto yuko wapi dear, vikao vyote vimesisitiza kuona tuta kwanza.....
Tamaa na kupenda mseleleko. Watu hawataki kuuliza akili, hivyo wanaamua kuumiza mwili.Kutokujiamini, mwingine anafungua for fun baadae akianza kutupiwa maneno ananogewa anaanza michezo ya hovyo!!
Ila wanaume mnazidi kupungua kila siku sijui vyakula mnavyokula vinawafanya mtamani kuwa na vibama km sisi!!! Mngejua mi nisivyopenda kuingia period halafu kuna watu wanatamani kuwa km sisi dah!! Nachoka kabisaa!!