Nina miaka 50 natafuta mke wakuoa , nina watoto wawili nilio zaa na Mzungu.
Sifa zinazo hitajika
1 awe mtu mzima zaidi ya miaka 35
2 Akiwa alishazaa au bado hakuna tatizo
3 Asiwe tegezi kwangu ila kwa mambo muhimu
4 Awe anafanya kazi
Nb: Mengine tuta jadiliana,fursa hiyo kwa wakina dada jitokezeni kwa wingi.
Sifa zinazo hitajika
1 awe mtu mzima zaidi ya miaka 35
2 Akiwa alishazaa au bado hakuna tatizo
3 Asiwe tegezi kwangu ila kwa mambo muhimu
4 Awe anafanya kazi
Nb: Mengine tuta jadiliana,fursa hiyo kwa wakina dada jitokezeni kwa wingi.