kidudula
Senior Member
- Jul 29, 2017
- 130
- 107
Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28.
Nina Elimu ya Diploma na nipo kwenye ajira.
Najitokeza humu kutafuta Mwanamke ambae nataka awe mke wangu.
Awe na sifa zifuatazo, Mweupe, urefu wa wastani tu, Elimu yeyote tu, Asiwe mnene wala mwembamba sana, Dini awe Muislam, Kabila lolote tu sichagui .....Kama upo tayari ncheki DM
Nina Elimu ya Diploma na nipo kwenye ajira.
Najitokeza humu kutafuta Mwanamke ambae nataka awe mke wangu.
Awe na sifa zifuatazo, Mweupe, urefu wa wastani tu, Elimu yeyote tu, Asiwe mnene wala mwembamba sana, Dini awe Muislam, Kabila lolote tu sichagui .....Kama upo tayari ncheki DM