Naunga mkono hojaSio kila kitu cha kujibu ipo siku utanielewa vizuri tu ndugu yangu.
Sawa mtoto kapumzike usingizi unakusumbua... Ila punguza kupanic na matusi hayakufanyi kuwa mjanja bali ni ushamba tu. Pole kama ukweli utakuuma lakini nitafanyaje sasaNaona ww n under 18 haya kakojoze nafaka ulale .. nipumzike na mm
πππππ Huujui ugomvi binti..jaribu kurelaxMwingine huyu unaham tu na ugomv haya sikupi bishana na keyboard
Chanzo cha kuleta matusi kisa nimekukumbusha binti wa Kislam anahitaji kuwa na staha? Swallow it as bitter as it is. Badilika acha ushamba wa kutukana tukana.Ungeangalia chanzo n nn..mtu hawezi toka tu kwako ukaanz kupigana njian...chanzo kipo ila kwakuw wote mmekuja kichwa kichwa mmeanza kunishambulia na mm sina cha mswalia mtume nawapa vyenu
Nimeanza na wewe kwasababu umetumia lugha chafu halafu bado ukajificha kwenye Kivuli cha Cha Uislamu. Facts had to be set straight watu wasije fikiri mabinti wa Kislamu wanatabia kama hizo. Umenielewa binti?Bado naona unakaza ubongo hutak kuelew... ulinikuta nmejib wengine sabab mm pia ckupendezw na majib yao lakn ww kwakua umeona upande mmoja ukaona uanze na mm
Lengo langu limetimia hujanitukana comment ya 5 sasa. Umekuwa good girl. Usiku mwema.Sasa umesema kwnye comment kam ungekuw muungwana si ungenisemea pemben hapo bado sion ulofany la maan zaid we look like a clown now Mr
Mama uko P maan sio kwa hasira hzi π€Uyajenge na nan kunguru wa Zanzibar zoea hvyo hvyo vyakunyonga c umezoea mwanamke kukulilia kukufany nyuma nyuma kama nzi mm sifany huo upuuz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeeh bibie taratibu, huu ni ugomvi wa wewe na Carlos... Habari ya kuanza kutukana jeshi zima la wokovu haikubaliki
Cc mama mchungaji Heaven Sent
Nakutania mwayaUnawazim ww...unadhan nalilia ndoa mm hata kupenda siwez kupenda ntaanzaje kutaka tena ndoa ili nkawe mfungwa mm niwe sehem ambayo siifurahii...sijawah kuachwa na cjawah kulilia mapenz ila nmetaman kupenda nijue unafeel vip ukifall in love
Eeeh bibie taratibu, huu ni ugomvi wa wewe na Carlos... Habari ya kuanza kutukana jeshi zima la wokovu haikubaliki
Cc mama mchungaji Heaven Sent
Asante mkuuKila la kheri mkuu
Ziamshe tena ovary bana tuangalie namna ya kufanya. Huenda nikawa na baraka kwako... Allaah akatufanyia wepesiUnataka ndoa ya pil sabab huna hisia na mkeo wa kwnza sio kam kisa chako ulichosema ulioa kwa kumuonea huruma.. wanaume kama nyie wallah mm siwatak yaan unajkuta unapenda paspopendeka ... ningekubal kuw mke mdogo ila baada yakusoma uzi wako wa nyumba ovari zote zimesinyaa
Pesa unayo ya kuwahudumia hao wanawake na watoto wote wa hizo pande mbili??Mimi ni kijana wa ki islamu. Umri wangu ni miaka 31. Nina mke mmoja na watoto wawili.
Natafuta mke wa kuoa awe mke wa pili. Kama atapatikana tutaelewana.
Hakuna vigezo wala masharti.
Nipo serious
kuna mtu humu kama hayupo bleed basi kagundua n mjamzito na mimba imekataliwa.
π π π π Umenichekesh kweli akikusikia Naushin atakwambia JF hakuna wanaume