lamekiAgustino
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 481
- 1,318
murembo mamboooNakazia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
murembo mamboooNakazia..
Ila wanyakyusa 🙄
Tunajua nini?Atakumbana na ujuaji pro max, wadada wa jf ni wajuaji.
Mnajua kila kitu, hamfaiiii!Tunajua nini?
Sasa waliotuoa inakuaje??? Au tupigwe chini.....Mnajua kila kitu, hamfaiiii!
Mpigwe chini mkafanyie ujuaji kwa wazazi wenu, tomechoka sana...Sasa waliotuoa inakuaje??? Au tupigwe chini.....
Bado hamjachoka, hadi kope ziote mvi ndo mtapumua.....Mpigwe chini mkafanyie ujuaji kwa wazazi wenu, tomechoka sana...
Sio hadi zivu liote mvi?🤣🤣🤣 manake kope tayari, aah nyie watu mmekuwa wajuaji sana, tumechoka!Bado hamjachoka, hadi kope ziote mvi ndo mtapumua.....
Mkuu, kama upo serious kweli kweli na unamaanisha emu nichek PM nikupe direction moja nzuri utanishukuru.Habari za wakati mabibi na mabwana!!
Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo,
Umri kuanzia 23-25
Elimu, kuanzia kidato Cha nne Hadi diploma
Kazi - anayeweza kujituma hata akiachiwa kazi/ biashara
Rangi- maji ya kunde au weupe kiasi
Umbo- mrefu kiasi na mwembamba (5" had 5.5")
Mimi najishuhulisha na biashara mbalimbali mjin dsm ,kwa Sasa nipo Moshi.
Nb; Niko na kiu haswa sio utani karibuni pm warembo tajwa[emoji4]
Vzzzz si kitu, kope ndio mchoko wa maana.....Sio hadi zivu liote mvi?🤣🤣🤣 manake kope tayari, aah nyie watu mmekuwa wajuaji sana, tumechoka!
😀😀😀 mambo ya Tarime haya
Uyo si ashaingia third floor? Jamaa anataka interval ya 23-25financial services nawe usiwe slow Sasa 😂, maana uta kuja sema siku pendi🤓
Aisee wakukungwa so watu😂🤓Uyo si ashaingia third floor? Jamaa anataka interval ya 23-25
Age hiyo bado watoto sana. Utaumia,pia wako Instagram,fb na tiktok saa hiiHabari za wakati mabibi na mabwana!!
Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo,
Umri kuanzia 23-25
Elimu, kuanzia kidato Cha nne Hadi diploma
Kazi - anayeweza kujituma hata akiachiwa kazi/ biashara
Rangi- maji ya kunde au weupe kiasi
Umbo- mrefu kiasi na mwembamba (5" had 5.5")
Mimi najishuhulisha na biashara mbalimbali mjin dsm ,kwa Sasa nipo Moshi.
Nb; Niko na kiu haswa sio utani karibuni pm warembo tajwa[emoji4]
Una matatizo gani mengine?Habari za wakati mabibi na mabwana!!
Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo,
Umri kuanzia 23-25
Elimu, kuanzia kidato Cha nne Hadi diploma
Kazi - anayeweza kujituma hata akiachiwa kazi/ biashara
Rangi- maji ya kunde au weupe kiasi
Umbo- mrefu kiasi na mwembamba (5" had 5.5")
Mimi najishuhulisha na biashara mbalimbali mjin dsm ,kwa Sasa nipo Moshi.
Nb; Niko na kiu haswa sio utani karibuni pm warembo tajwa😊
Ila we bintiElimu imenikosesha mume leo..!
ukishiriki kikamilifu kwenye ibada, misa, maombi na maombezi. warsha seminar na makongamano mbalimbali ya viijana na vijana wenzio.Habari za wakati mabibi na mabwana!!
Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo,
Umri kuanzia 23-25
Elimu, kuanzia kidato Cha nne Hadi diploma
Kazi - anayeweza kujituma hata akiachiwa kazi/ biashara
Rangi- maji ya kunde au weupe kiasi
Umbo- mrefu kiasi na mwembamba (5" had 5.5")
Mimi najishuhulisha na biashara mbalimbali mjin dsm ,kwa Sasa nipo Moshi.
Nb; Niko na kiu haswa sio utani karibuni pm warembo tajwa😊