mh!wadada wenye elimu zenu na mkuje huku!
Ile digrii yako ya kutengeneza Loshoroo na Kitalolo si ndio wakati wake huu ikusaidie kupata mdosi wa Kichaga
Ile digrii yako ya kutengeneza Loshoroo na Kitalolo si ndio wakati wake huu ikusaidie kupata mdosi wa Kichaga
mh!kwa digree niliyonayo
labda nipate kazi kwny club ya mbege!
Mmmmmmmmm??????
Sasa changamkia ofa hii....suala la umri niachie mimi nitaongea na watu wa RITA.
Halafu hiyo digirii tutaiverifai kule TCU.
Akiwa na mtoto je?Tafuta!