Natafuta mke

Natafuta mke

Mpilipili

Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
28
Reaction score
12
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 35. Natokea Moshi. Nimeajiriwa na pia ni Mjasiriamali. Nitafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo.
1. Mtanzania
2. Umri miaka kati ya 25 hadi 30
3. Elimu, chuo kikuu
4. Awe na afya nzuri na awe tayari for medical check up

Mwenye sifa hizi, awasiliane nami.
 
Mtafuto mwema bro...ila ungesogea hapo 'love connect' ungewapata wengi!
 
Back
Top Bottom