Mimi ni mwanaume mwenye miaka 35. Natokea Moshi. Nimeajiriwa na pia ni Mjasiriamali. Nitafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo.
1. Mtanzania
2. Umri miaka kati ya 25 hadi 30
3. Elimu, chuo kikuu
4. Awe na afya nzuri na awe tayari for medical check up
Mwenye sifa hizi, awasiliane nami.
1. Mtanzania
2. Umri miaka kati ya 25 hadi 30
3. Elimu, chuo kikuu
4. Awe na afya nzuri na awe tayari for medical check up
Mwenye sifa hizi, awasiliane nami.