Mimi mbona sijaona tusi hapoAmekukosea nini mpaka kumtukana hivyo? Mnafahamiana tangu zamani, nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mbona sijaona tusi hapoAmekukosea nini mpaka kumtukana hivyo? Mnafahamiana tangu zamani, nini?
Techno fi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa ndg. Kimya ni busara sometimesNiungane nawe, huyo mchangiaji hana busara hata kidogo, hata kukaa kimya nako ni hekima.
Kabisa. Ni ujinga wa kiwango cha juu sana. Kama mtu huna cha kuandika ni bora ukakaa kimya kabisa. Nayo ni busaraManeno yake makali sana, hakupaswa kumuandikia maneno makali namna hiyo
Internet hizi
Mimi mbona sijaona tusi hapo
So mkuu fisi hana akili timamu?Mambo mengine kuyaona ni mpka uwe na akili ya binadamu. Kama una akili ya fisi hauwezi kuyaona.
Kama mimi kusema sijaona tusi kwako umekereka basi ungeishia kuniambia kuwa sina akili timamu na ingetosha, sijaona sababu ya kumtukana fisi mnyama. Utimamu wa akili unapimwa kwa binadamu, je unajua wanyama (ref fisi) wanaongozwa na nini katika kufanya maamuzi?Mambo mengine kuyaona ni mpka uwe na akili ya binadamu. Kama una akili ya fisi hauwezi kuyaona.
Mbona Jua limezama na Giza tayari limetanda
Kwanini usiendelee kujifariji na kujaza ujinga wadogo zako wa kike kuwa wanaume hatuna maana.
Kama kaburi la baba wa mtoto wako lipo na ninaweza kwenda kuliona basi nipo tayari kuleta posa
Amekukosea nini mpaka kumtukana hivyo? Mnafahamiana tangu zamani, nini?
Tuongee nina shida na weweHabari wana jf. Kichwa cha habari Kama kinavyojieleza. Naamini mme anapatikana sehemu yoyote ile.
Wasifu wangu.
Nina mtoto mmoja
Umri 35
Kazi ni mwajiliwa serikalini
Mzaliwa nyanda za juu kusini
Sifa za mwanaume
Awe serious
Umri 36 na kuendelea
Akiwa na mtoto ni vizuri
Awe anatokea nyanda za juu kusini
Dini yoyote
Duh! Umeamua kumchanaMbona Jua limezama na Giza tayari limetanda
Kwanini usiendelee kujifariji na kujaza ujinga wadogo zako wa kike kuwa wanaume hatuna maana.
Kama kaburi la baba wa mtoto wako lipo na ninaweza kwenda kuliona basi nipo tayari kuleta posa
MnooooMasingo maza wanapitia mengi sana awamu hii ya tano..
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Dont hate the player, hate the game.Mbona Jua limezama na Giza tayari limetanda
Kwanini usiendelee kujifariji na kujaza ujinga wadogo zako wa kike kuwa wanaume hatuna maana.
Kama kaburi la baba wa mtoto wako lipo na ninaweza kwenda kuliona basi nipo tayari kuleta posa