Dagobert tebily
Member
- Mar 29, 2013
- 5
- 3
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
utanijuaje niko serious au nataka kupiga tu show?
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
Mbona mi nina umri huo, Sijaoa na wala sio Kimeo?
Muache atafute tu, atatupata tu one day!!
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
Mmh 2 much 30 years.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Naona umeshavurugwa wewe:
Mwanaume aliye serious hawezi kuoa mwanamke anayejinadi mitandaoni.
Ukiona wanaume hawakukuona unakoishi, unakosali, unakofanya kazi na hata unakopita basi ujue kuna tatizo kwa upande wako. Jambo la pili, unaweka vigezo vya degree as if unatafuta mfanyakazi.
Maisha ya ndoa hayaongozwi na degree na ndio maana at the age of 30 hujaolewa pamoja na kuwa na degree ilhali wenye cheti cha STD 7 wana waume na watoto. Yaelekea umezoea kutoa matangazo ya kazi sasa umesahau kuwa unayetafuta ni mume. Vigezo vya mume ni hivi:
1. Awe dini fulani
2. Awe mrefu wa kimo fulani
3. Awe na rangi fulani
4. Awe na tabia fulani (kwa mfano mlevi)
5. Awe na mpododo wa inchi kadhaa (mfn 12", 16" au labda unapenda 3" kama yangu)
6. Awe bishoo au sharobaro n.k
sasa wewe umekimbilia kwenye elimu. Nakukumbusha kuwa wewe tafuta mume achana na degree. Na ukumbuke unayemtafuta ni mburula mwenzio na sio mtu serious sababu mtu seriou hawezi kuchukua bidhaa iliyosuswa mtaani kwao sababu ya GHUBU
hiy0 sio polojo kama unadhani ni polojo shauri yako.maana watu wanamna hii huwezi kuwakwepa.Hata kwenye serious issue mnaleta polojo?
30 yrs umetumika sana ila waweza kunifaa mimi 41yrs but divorced
Daaaah..mkuu, nn mbaya huwez jua labda alikuwa nae mpaka ile cku ya ndoa jamaa akatoroka kwa church..
Ila na hizo sifa zako pia sio za maana saana..labda tabia na dini ..about ecomic, anajiweza? Hata kama hana elimu..nadhan vigezo vikubwa ni:
1.Awe na tabia njema na yakukubalika na jamii..utamchinguza.
2.Awe anajiweza angalau kiiiiiiidogo tuu, mengine mtasaidiana....
3. Awe mkweli na nia....
4. Afya muhimu saana..mka pime..
5.Awe na dhati ya kweli..kupendana kw kila hali..[/QUOte
we andika tu chochote mana yote haya niliyatarajia!anyway asante kwa kuchangia
Mimi sio kimeo wewe, sema tu sijaamua kuoa bado.
Kwa hili Kongosho amekosea!!
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
Mwanamke si chombo ....fanya heshima. Mungu atamsaidia atapata mwenza amtakae.Ujana wako uligegedwa sasa unatafuta mtu wa kurithi huo mkweche,we komaaa hivyo bila mume tuu