Naona umeshavurugwa wewe:
Mwanaume aliye serious hawezi kuoa mwanamke anayejinadi mitandaoni.
Ukiona wanaume hawakukuona unakoishi, unakosali, unakofanya kazi na hata unakopita basi ujue kuna tatizo kwa upande wako. Jambo la pili, unaweka vigezo vya degree as if unatafuta mfanyakazi.
Maisha ya ndoa hayaongozwi na degree na ndio maana at the age of 30 hujaolewa pamoja na kuwa na degree ilhali wenye cheti cha STD 7 wana waume na watoto. Yaelekea umezoea kutoa matangazo ya kazi sasa umesahau kuwa unayetafuta ni mume. Vigezo vya mume ni hivi:
1. Awe dini fulani
2. Awe mrefu wa kimo fulani
3. Awe na rangi fulani
4. Awe na tabia fulani (kwa mfano mlevi)
5. Awe na mpododo wa inchi kadhaa (mfn 12", 16" au labda unapenda 3" kama yangu)
6. Awe bishoo au sharobaro n.k
sasa wewe umekimbilia kwenye elimu. Nakukumbusha kuwa wewe tafuta mume achana na degree. Na ukumbuke unayemtafuta ni mburula mwenzio na sio mtu serious sababu mtu seriou hawezi kuchukua bidhaa iliyosuswa mtaani kwao sababu ya GHUBU