natafuta mme aliye serious

natafuta mme aliye serious

sensodine

Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
34
Reaction score
11
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
 
32 - 40 wengi washaoa, waliobaki baki vimeo
Hujui hilo??? Nena kanisani kwenu, hukosi mwanakwaya
 
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane

Acha kutafuta muachie Mungu, usije ukajuta kutafuta
 
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane

Huyu jamaa nimempa ID yako ata KU-PM. Anatafuta sana mke wa kuoa.

black-man-cheating.jpg
 
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
<br />
<br />


Me degree cna cfa ya umri na ukrsto tu, ! ila pesa ipo yakutosha toka misitu ya mafinga! karbu ukinga kwetu uje kula pesa ya mbao!
 
Hivi usichana na uvulani unaishiaga miaka mingapi kwa anaefahamu tafadhali
 
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
plus 5 years of marriage experience
 
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane

32-40 ni waume za watu mwanadada!!!! Pia niseme umechelewa kidogo? Ulikuwa shule nini? Ila pia wapo wale wanaopenda good time na wanasahau kuoa!!! Dah jamaa at 40 hajao ni lazima mtu ujiulize kulikoni!!!
 
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
sensodine, mi nina degree mbili za karate nilichukua Japan, naomba nilete cv yangu na mikanda niliyonayo
 
Last edited by a moderator:
Wadada wengi wenye degree wanatafuta wanaume wenye degree pia kulikoni?
 
Ujana wako uligegedwa sasa unatafuta mtu wa kurithi huo mkweche,we komaaa hivyo bila mume tuu
 
hapa ndipo mnapochemka dada zangu,mnatmhka weee!,unashtka unapewa show 2,al de best
 
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane


Huyu ni bwana mdogo wangu, ni mcha Mungu na ana miaka 39, kama you are really interested ni PM nikupe contacts zake:
images.jpeg
 
Back
Top Bottom