Natafuta mme awe mkoa wa Iringa na Njombe

Natafuta mme awe mkoa wa Iringa na Njombe

Udell

Member
Joined
Mar 29, 2022
Posts
21
Reaction score
15
Naamini mme hupatikana popote Mimi ni mama wa mtoto mmoja. Naishi mkoa wa Iringa hivyo nimeona nitafute mtu wa mikoa ya karibu ili iwe rahisi kuonana. Sifa za mme awe hana mke. Awe na miaka 35 na kuendelea Akiwa na mtoto ni vizuri pia kama hana sawa. Awe amejiajiri au kuajiliwa.
 
Watakuja kuulizia kama huyo mwanaume uliyezaa naye yupo hai. Andaa majibu kabisa.
 
Naamini mme hupatikana popote Mimi ni mama wa mtoto mmoja. Naishi mkoa wa Iringa hivyo nimeona nitafute mtu wa mikoa ya karibu ili iwe rahisi kuonana. Sifa za mme awe hana mke. Awe na miaka 35 na kuendelea Akiwa na mtoto ni vizuri pia kama hana sawa. Awe amejiajiri au kuajiliwa.
Unataka Ajira yake au unataka akupe hela......
 
Na bado Sana

Miaka mitano ijayo mtaanza kututolea mali
 
Cheti Cha kifo cha baba wa mtoto kipo?

wakina ngosha changamkieni fursa
 
Ndio kishapata jiko tayari na washenga akina Mzee Mgaya wapo tu wanacheza bao pale kitwiru wanasubiri ratiba
Umenisahau na mimi mkuu! Mara nyingi huwa nakiona hicho kijamaa johnthebaptist kikipita kwenda kwa Mzee wake Mgaya kuchukua mada za kuja kutuletea humu jukwaani!

Ni kijamaa fulani hivi kifupi kama nyundo 🔨, halafu ni kikorofi sana! Hivyo kiukweli hakitawezana na huyo mdada wa watu.
 
Back
Top Bottom