Natafuta mme

Utapimaje ucha Mungu Wake?
 
Karibu, njoo Pm
 
Mtafute baba Mtoto muendeleze uzee wenu, hakuna shirt cut hapo. Kama una Mtoto ni ishara tosha kwamba una mume.....labda ueleze uma kwamba mwenye Mtoto yu wapo and why?
 
Acha kumkatisha mwenzio tamaa jje
 
Sasa tafuta mtu anayemfahamu uulizie mambo yake kipindi alipokuwa 21. Utakoma mwenyewe. Saa hizi jua linaanza kuzama ndo anaanza kushutuka na kumcha Mungu, thubutu!
Ha ha ha dharau kwa vijana wenzie balaa!!
Club hakauki!!
Vimini, tight clothes mchana,
Bingwa wa kuchuna,nk.

Ila wanaume ni kiboko!!
 
Nimesoma msg zenu, kwa wale wanao uliza kuhusu baba wa mtoto ukini PM i will iron out the details what happened.

Kwa wale mnao criticize, sikatai kuwa criticize coz binadamu tumeumbwa hivyo. Ila bear in mind it is all around us yawezekana usiwe ni wewe but ikampata one member of your family so dont judge about age coz you dont know what happened in the past.
 
B
Hivi hizi serikali za Afrika zina matatizo gani tatizo halikimbiwi lina shughulikiwa
Unaleta kingereza humu utapata msomi mwezako tyuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…