Nitakuoa me 1 .Kwa nini aujaolewa mpakaka 32 ,pili kwanini mwenza wako asikowe samahani .Tatu maombi yamebuma.Ni pmHabari zenu wana ndugu, mimi ni mdada wa miaka 32 nina mtoto ninatafuta mume, elimu yangu ya chuo, mkristo. Nina tafuta mume wakunioa awe mcha mungu, na awe anajishughulisha/kitu chakumuingizia kipato umri uanza miaka 32-40. Ila awe tayari kunikubali na kunipenda mimi na mwanangu.
For more details come to PM
I fully agree with you but kupata wa mtaani kwako inaleta maana zaidi. Sipingani na hoja yako tambua hiloMkuu, waliopo humu Ndio wako mtaani.
Hv ni yeye ndo kajibu eeeeh [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85] sijamsikia tangia aanzishe threadHaya sasa, mliokuwa mnauliza tabia ya muolewaji, tayari keshamtusi mchangiaji mojawapo. Wacha episode iendelee.! [emoji23] [emoji23]
Inaelekea ukipenda boga hupendi na ua lake[emoji38] [emoji38] [emoji38]Kama huyo mtoto anahudumiwa 100% na baba yake njoo tuzoze
Ua lina Mwenyewe kisheria kabisa yaani Ukizaa mtoto ni lazima umlee... yawezekana yeye kampenda zaidi baba wa mtoto hadi kamtafutia baba Mwingine mlelee mwanae!Inaelekea ukipenda boga hupendi na ua lake[emoji38] [emoji38] [emoji38]
mtoto nikimlea akaja kuwa raisi hapo atakuwa upande gani jamani.ana miaka mingapi na je baba yake wanajuana kweli.ila kama una uhakika hautotoka nje ya ndo please ni pm mana siku ukija kutoka yale yaliyotokea kenya yatakupata mpaka mpasuliwe.
sometime ulipokuwa around 18-24 kuna wanaume walikuwa wanakulilia wakuoe ila ukawaona sio hadhi yako saivi hata utamkubali aliye chini ya kiwango ulichokuwa unakikataa.
pia haya majibu unajazwa upepo ukasirike utoe povu ujulikane tabia so kuwa imara usiyumbishe hisia kwa maneno ya watu. binafsi ningekuchapa viboko kama viwili matakoni vichungu kuanzia hapo ndo nakujua ulivyo. ila ndoa mtihani mkuba ktk maisha vyeti kwanza afu mtihani mie ningeshauri mitihani kwanza afu cheti mwishoni. ni pm hata tutapeana ushauri dada yangu
Akisha kuja utamuangalia lea hivyo vigezo wala usiweke vigezo 100 nakuja malaika hapa. Ukianza kuweka vigezo lukuki hata option hatakuwa nayo, huu mchezo hauhitaji kuwa seriasi sana, utakufa senior bachelor shauri yako.hahahahahha bila vigezo jamani? unamwonea sasa
MhhhhhUa lina Mwenyewe kisheria kabisa yaani Ukizaa mtoto ni lazima umlee... yawezekana yeye kampenda zaidi baba wa mtoto hadi kamtafutia baba Mwingine mlelee mwanae!
Huko wanakoishi wanaonaje?hapa hupati jibu kabisa, ningeshauri atafute huko anakoenda kuabudu maana ndiko atakapopata wenye kumcha Mungu.
ni ushauri tu maana hapa kebehi nyingi zitakuwepo.
kuna kitu najiuliza for sure bila majibu.
Hivi watu wa namna hii wako serious kweli? it means wanakoishi hawajaona kabisa hadi waje humu JF?
seriously? mimi sina jibu kabisa naomba msaada.
Aendelee tu mkuu yalikuwa maeazo yangu tu. Ana haki ya ku disolve and choose the bestHuko wanakoishi wanaonaje?
Inakuwaje unashindwa kupata mchumba mtaani kwako unaenda kumpata chuo huko?
Inakuwaje unashindwa kupata mchumba chuo unakwenda kumpata kazini kwako?
Inakuwaje unakosa mchumba chuo,kazini na unakwenda kumpata kwenye semina uliyokwenda mkoani?
Inakuwaje unakosa mchumba kote huko unakuja kumpata baada ya kupata hitilafu ya gari lako na yeye akakusaidia?
Sijui kama utanbielewa,lakini nataka tu nikuambie kuwa "jukwaa" la kupata mwenza ni dunia nzima bila kujali ni wapi na unampata kwa njia ipi.....
Ni kweli lakini ulichopaswa kujua ni kuwa unatakiwa utoe ushauri ambao ni constructive ambao ataweza kuusoma na ukamsaidia siyo kama ulioutoa maana una matobo mengi sana na hauna faida yoyote ile.....Aendelee tu mkuu yalikuwa maeazo yangu tu. Ana haki ya ku disolve and choose the best
naona kuna kitu cha ziada unataka kukijua kuhusu mimi la sivyo ni bora tu end up this conversation.Ni kweli lakini ulichopaswa kujua ni kuwa unatakiwa utoe ushauri ambao ni constructive ambao ataweza kuusoma na ukamsaidia siyo kama ulioutoa maana una matobo mengi sana na hauna faida yoyote ile.....
Lakini pia,ni kweli hayo ni mawazo yako lakini yanakuwa siyo mawazo yako pale tu ulipoamua kuyaweka hapa maana hili ni jukwaa huru ambalo kila mmoja atajadili unachoweka hapa hivyo unatakiwa ujue hilo pia.....
Kama unahitaji kuachana na majadiliano haya ni kitu gani kinakufanya uendelee kujibu post hapa?naona kuna kitu cha ziada unataka kukijua kuhusu mimi la sivyo ni bora tu end up this conversation.
Ni kweli una haki ya kushauri chochote unachojisikia na ni kweli ni vyema ukawa makini ili usiumize mtu yoyote,lakini hili la pili la kuepuka kumuumiza mwingine umesha feli kabisa maana ndicho ulichokifanya hapa....I have the right to give out whatever I feel like it is good and not give any harm to anyone. I don't see the logic behind you and since I don't argue with someone negative minded people, I better leave pie as pie.
Usijali,ninajisikia na kujiona kwa namna nitakayo na huna haja ya kunikumbusha jambo hili na wala usidhani nimejali chochote kukuhusu isipokuwa nimejali ulichoandika hapa kwasababu kinanihusu mimi na wanachama wote wa JF hasa hasa mleta mada maana ni kitu hasi kabisa.Achana na tabia ya kujionesha namna ulivyo dhaifu na usivyojiamini kwa kudhani kuwa ninaweza kuwa na hata theluthi ya mamlaka ya kuwaelekeza kila mmoja hapa kukubaliana na ninachokiandika hapa,hiyo ni dalili ya kutojiamini kabisa.....Feel whatever you wanna feel and be comfortable on your way. Don't mind me at all. as I said before, they have the right to dissolve what it comes to them. You seems to tell all the audience that what you said is correct and they should take it the way you want. That is not life and we don't go like that.
Hahahahaaaaa....If you feel like my suggestions did not meet your perceptions, well move on and have your on way mkuu.
Please and Please.