naona kuna kitu cha ziada unataka kukijua kuhusu mimi la sivyo ni bora tu end up this conversation.
Kama unahitaji kuachana na majadiliano haya ni kitu gani kinakufanya uendelee kujibu post hapa?
Staki nataka za nini?
I have the right to give out whatever I feel like it is good and not give any harm to anyone. I don't see the logic behind you and since I don't argue with someone negative minded people, I better leave pie as pie.
Ni kweli una haki ya kushauri chochote unachojisikia na ni kweli ni vyema ukawa makini ili usiumize mtu yoyote,lakini hili la pili la kuepuka kumuumiza mwingine umesha feli kabisa maana ndicho ulichokifanya hapa....
Ni kweli inawezekana hujaona mantiki kwenye nilichoandika na hili lina sababu nyingi tu na inawezekana sababu kubwa zaidi ni wewe kutokuwa na uwezo wa kuona mantiki,sasa utaionaje? Kimsingi,watu ambao ni hasi,kama wewe,huwa wepesi sana kuwalaumu wengine kuwa hasi wakati wao wenyewe ni hasi kindakindaki.Hiyo ni kanuni tu kuwa tabia yako unaionea kwa mtu mwingine hivyo wala sikushangai....
Lakini kikubwa zaidi ni kwamba,wewe,kama tulivyo Watanzania wengi huwa hatutaki kuelezwa ukweli na kupewa ushauri hasa ule ambao unatufanya tujione kama tulivyo...
Feel whatever you wanna feel and be comfortable on your way. Don't mind me at all. as I said before, they have the right to dissolve what it comes to them. You seems to tell all the audience that what you said is correct and they should take it the way you want. That is not life and we don't go like that.
Usijali,ninajisikia na kujiona kwa namna nitakayo na huna haja ya kunikumbusha jambo hili na wala usidhani nimejali chochote kukuhusu isipokuwa nimejali ulichoandika hapa kwasababu kinanihusu mimi na wanachama wote wa JF hasa hasa mleta mada maana ni kitu hasi kabisa.Achana na tabia ya kujionesha namna ulivyo dhaifu na usivyojiamini kwa kudhani kuwa ninaweza kuwa na hata theluthi ya mamlaka ya kuwaelekeza kila mmoja hapa kukubaliana na ninachokiandika hapa,hiyo ni dalili ya kutojiamini kabisa.....
Nawezaje kukifanya unachodai kwenye maandishi?
If you feel like my suggestions did not meet your perceptions, well move on and have your on way mkuu.
Please and Please.
Hahahahaaaaa....
Hujui ninachikihisi hivyo usipende kuishi kwenye assumptions maana ni kiwango kibaya kabisa cha kuwa muflisi.Nimejadili ulichoakiandika na siyo wewe binafsi,acha kujiona duni.....
Ishi maisha ya amani na jiamini.....