immu bin masoud
Senior Member
- Jun 4, 2017
- 162
- 197
Nimekielewa sna hicho kipengele cha mtaji wako ni uzima wakoAm 27 niko songea kama hutojali ningependa tujuane then ndoa status yangu ni mission town mtaji wangu ni uzima wangu sinywi pombe sivuti sigara alafu pia nasari kkkt hivyo kiimani tuko sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha eti mzee mzeeAcha uchoyo ww kijana mwenzio inabidi umsikilize kwnz..ww ulikuwa unataka mzee mzee hivi ndio uone sio mtumiaji?
hahaha eti mzee mzee
kuna muda wa kutumiana na inafika stage ya mtu kuamua kusettle na mtu mmoja na kujenga nae maisha
mfano mdogo ni kama hapo mtoa ameshajiamulia atafute last opt asettle nae life liendelee
nko aroundWw hujafikia last option bado?!
Huu uzi ungeutuma PM niurekebishe ungenoga sanaHabar!ninaishi dar,Iβm 28 years old christian,Lutheran church na nimeajiriwa, ninatafuta mme,nimechoka upweke na nahitaji mtu serious anaeishi dar kwa ajili ya ukaribu.thanks.serious issue pls.kama una utani kaa pembeni.nimechoka upweke Loh.
Nb:uwe mwaminifu sio kujileta na madudu yako me too Iβm tired of those madudu[emoji29]
1. Huku wengi wanatumia utambulisho badia, waweza kukuta kwenye familia moja kila mtu ni mwanachama kwa siri na ID bandia mwisho wa siku mkakuta mnatongozana na baba yako ama kaka zakoHabar!ninaishi dar,Iβm 28 years old christian,Lutheran church na nimeajiriwa, ninatafuta mme,nimechoka upweke na nahitaji mtu serious anaeishi dar kwa ajili ya ukaribu.thanks.serious issue pls.kama una utani kaa pembeni.nimechoka upweke Loh.
Nb:uwe mwaminifu sio kujileta na madudu yako me too Iβm tired of those maduduπ
Punguza maneno makali Mdada, ukiwa mnyenyekevu na mpole huwezi kupata hasara yeyote, nafahamu kwamba kuna watu wanakwaza, lakini ndio binadamu wenyewe hao.Humu ndani kuna wajuaji sijui nimejoin leo ama whatever I donβt care nimejoin sababu hii yes so ukiona post haikuhusu pita pemben tusikwazane
nimeielewa namba 41. Huku wengi wanatumia utambulisho badia, waweza kukuta kwenye familia moja kila mtu ni mwanachama kwa siri na ID bandia mwisho wa siku mkakuta mnatongozana na baba yako ama kaka zako
2.Wanaume wa kuoa ni wale unaopishana nao kila siku njiani, ni wale unaofanya nao kazi, ni wale unaosali nao, ni wale majirani zako, ni wale uliosoma nao, ni wale wanaokuja ofisini kwako ama unaowakuta ofisini kwao kwenye majukumu ya kikazi
3.Tatizo lenu hamataki kuolewa na wanaume mliowazoea kwa kuwa madhaifu yao mnaijua, kwa kuwa mnadhani hawana hela, kwa kuwa mnadhani hawana hobi za matanuzi
4. Anza sasa kuwaheshimu wanaume na kila mtu kwani yule unayemtarajia awe mchumba wako sio yeye, wachuma wa kweli wanakupeleleza kimya kimya na wakikuona jinsi unavyoishi , unavyoongea na watu, tabia za marafiki zako, unavyopenda maisha ya juu na ya hanasa wananakokimbia kimya kimya.
5. Kama wewe ni mkristu kama ulivyo sema sasa anza ibada ya kila wakati na ikiwezekana jiunge na kwaya na kule uwe na tabia tofauti kabisa maana kuna vikware vimejificha humo unaweza kuharibu faili lako kabisa.
6. Kama huo mtaa ama mkoa ulipo ulishaharibu na tabia zako zinajulikana basi hama kabisa mkoa kaaze upya na ukifika huko badili tabia maana tuna tabia ya kuwahi mwanamke mpya anayekuja bila kujali huko aliko toka alishaharibu.
Project Guantanamo iliTik?Ukitaka Kibenten nistue
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Hahaaaaa aisee mkuu.. sijawahi felii akii, Hakuna mkate mgumu
Naomba uni pmMwanaJF mkongwe mwenzetu anatafuta mume mazeee!!!
Hatak madudu,sababu ID ya mwanzo, alikutana na Madudu[emoji23]
Habar!ninaishi dar,Iβm 28 years old christian,Lutheran church na nimeajiriwa, ninatafuta mme,nimechoka upweke na nahitaji mtu serious anaeishi dar kwa ajili ya ukaribu.thanks.serious issue pls.kama una utani kaa pembeni.nimechoka upweke Loh.
Nb:uwe mwaminifu sio kujileta na madudu yako me too Iβm tired of those madudu[emoji29]
[emoji1490][emoji1490][emoji1490]Hahaaaaa aisee mkuu.. sijawahi felii akii, Hakuna mkate mgumu
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mlini encourage sana wazee... nikaongeza juhudi
Gud job joh...... Nothing impossible kwa kweliMlini encourage sana wazee... nikaongeza juhudi
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
nko around
haha ukimpata mlete piemuuuππππNataka nikutafutie mchumba