Mtoa Msaada
Member
- Feb 5, 2019
- 57
- 33
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kama nakuona ulivyokua unaringa enzi za 18-25
Vp namba yako ya simuhahaha bado bado
looohVp namba yako ya simu
Nakusubiri wewe useme unatafutaDaaa! lovee kipenzi hapa kuna namba za simu moja tu nimeona angalau . kajitahidi sijui hii mitoto mingine ya Jf. ikoje yaani yameonaona tu basi mimi nawaasa huyu dada yuko serious. chukueni mke huyu jamani mtajuta nyie hayaa! jamii forum kuna wake bomba sana.wadogo wangu wanne wamepata humuhumu.
uwe mwaminifu sio kujileta na madudu yako me too I’m tired of those madudu
Kubali kuwa bi mdogo ule maishaSio inshu kwangu as long as ndo najua mda umefika hayo ya kuringa siyajui boss
hutaki Rafiki? [emoji28][emoji28] nipo hapa sina MADUDUHabar!ninaishi dar,I’m 28 years old christian,Lutheran church na nimeajiriwa, ninatafuta mme,nimechoka upweke na nahitaji mtu serious anaeishi dar kwa ajili ya ukaribu.thanks.serious issue pls.kama una utani kaa pembeni.nimechoka upweke Loh.
Nb:uwe mwaminifu sio kujileta na madudu yako me too I’m tired of those madudu[emoji29]
Note!!mume lazima awe mkristo tena mcha Mungu will be my first priority,na umri kuanzia 32 plus na sijabagua wa mkoa wowote nimesema ajili ya ukaribu...and I’m too busy so ukija kwangu maanisha maana sina mda wa kuanza kufanya hili ama lile!
Karibu.