Natafuta mme

Natafuta mme

Daaa! lovee kipenzi hapa kuna namba za simu moja tu nimeona angalau . kajitahidi sijui hii mitoto mingine ya Jf. ikoje yaani yameonaona tu basi mimi nawaasa huyu dada yuko serious. chukueni mke huyu jamani mtajuta nyie hayaa! jamii forum kuna wake bomba sana.wadogo wangu wanne wamepata humuhumu.
 
Daaa! lovee kipenzi hapa kuna namba za simu moja tu nimeona angalau . kajitahidi sijui hii mitoto mingine ya Jf. ikoje yaani yameonaona tu basi mimi nawaasa huyu dada yuko serious. chukueni mke huyu jamani mtajuta nyie hayaa! jamii forum kuna wake bomba sana.wadogo wangu wanne wamepata humuhumu.
Nakusubiri wewe useme unatafuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke wa hivi hata kwa fimbo sioi, maelezo yako tu yafaa mtu kujua wewe ni jeuri na ndiyo mana hupati mume. Atakaye oa huyu iko siku atarudi humu akijuta. Siyo kila mwanamke anafaa kuwa mke, wengine wanafaa kuwa michepuko tuuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
uwe mwaminifu sio kujileta na madudu yako me too I’m tired of those madudu

Madudu ndio vitu gani.????

tuache hayo, nipo hapa Mume unaenitafuta, tulizo la moyo wako.

fanya unitafute whatsapp +1 423 8100490
 
Hapa sasa wengihe vichwa vya panzi yaani ni hivi ''seriousness'' tunamaanisha kwamba mkweli. mwaminfu,roho nzuri,mpole kiasi. siyo serious ile ya kunuuuuna mpaka mdomo unauma.
 
Huo ukaribisho kama kambi ya jeshi.

Kila la kheri bi Dada.
 
siku aliyojiunga jf na ndio siku kaleta tangazo lake la kutafuta mume.inainekana alishahangaika sana so jf kaona ndio sehemu sahihi.by the atuletee mrejesho kama kapata.
 
Dah nimechelewa kuona tangazo asee sema mm wa mkoani alafu nina 26 ila nipo serious pia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habar!ninaishi dar,I’m 28 years old christian,Lutheran church na nimeajiriwa, ninatafuta mme,nimechoka upweke na nahitaji mtu serious anaeishi dar kwa ajili ya ukaribu.thanks.serious issue pls.kama una utani kaa pembeni.nimechoka upweke Loh.
Nb:uwe mwaminifu sio kujileta na madudu yako me too I’m tired of those madudu[emoji29]
Note!!mume lazima awe mkristo tena mcha Mungu will be my first priority,na umri kuanzia 32 plus na sijabagua wa mkoa wowote nimesema ajili ya ukaribu...and I’m too busy so ukija kwangu maanisha maana sina mda wa kuanza kufanya hili ama lile!
Karibu.
hutaki Rafiki? [emoji28][emoji28] nipo hapa sina MADUDU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom