Natafuta mme

Natafuta mme

Mimi nadhani kama kweli unataka kuolewa usingeweka limitation ya mwanaume kutokea Dar. Unaweza ukalazimisha atoke Dar, ukajuta wakati aliye sahihi kwako yupo Mwakaleli huku!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama 'unavuta tela' basi njoo nikuwowe. Ila kama una tako bapa kama panga, kaa benchi kwanza ungojee kipindi cha pili, nitakuputi intu konsidaresheni. 😁😁😁

-Kaveli-
 
Kwenye kumtafuta Kaveli. [emoji39][emoji39]

Hahaha eti sauti tamu. Umeanza ucheshi wako we mrembo [emoji23][emoji23].

-Kaveli-
Hahahaha Kaveli bwana nikutafute mara ngapi?lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hahahaha kidogo tu[emoji6]
 
Hahahaha Kaveli bwana nikutafute mara ngapi?lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hahahaha kidogo tu[emoji6]

Hongera sana kwa kumnasa Kaveli. Utaenjoy maisha like in heaven, zaidi ya Hawa yule wa Eden. 😁😁

-Kaveli-
 
Habar!ninaishi dar,I’m 28 years old christian,Lutheran church na nimeajiriwa, ninatafuta mme,nimechoka upweke na nahitaji mtu serious anaeishi dar kwa ajili ya ukaribu.thanks.serious issue pls.kama una utani kaa pembeni.nimechoka upweke Loh.
Nb:uwe mwaminifu sio kujileta na madudu yako me too I’m tired of those madudu[emoji29]
Nina maswali 5 kabla ya kukubali kuniposa:
1.Mume awe na umri gani?
2.Awe na dini au hana?
3.Na kama anayo dini iwe ipi na dhehebu gani?
4.Je, we bado ni bikra?
5.Una mtoto au huna?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahaha umenifanya nicheke sana Kaveli [emoji23] sio kwa mistari hiyo

Wahi geto sasa uje nikulishe madini unye utajiri. Kumpata Kaveli ni sawa na kuwa signatory wa World Bank. Pompo la kumwaga. 😊😊

-Kaveli-
 
[emoji11][emoji7] come over bby
2019-02-15%2009.44.03.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom