Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Wadau nina jamaa yangu ana mzigo wa dhahabu anatafuta mnunuzi na pia ajue bei yake kwa gram. Kama yuko aliye tayari humu anijuvye nimwambie alete mzigo. Pia kuna mawe ameniambia filispa???? Anayo tani kadhaa kama mnayafahamu. Mimi siyajui aisee. Thanks.