Natafuta mpango wa kando


Huyu naye, we ulikuwa bado unakaa kwa wazazi mpaka leo?
 

Sifa zako nimezizimia, sasa kuna Padre mmoja rafikiye padre Kimaro wa Kimara, anataka mwezi wake sifa kama zako so inakuwaje?
 
hivi mpango wa kando si nyumba ndogo??ina maana una mke au?
 
unataka mpango wa kando afu hutaki kuchunwa!!!!!!!
chapa lapa wewe.......
 
mh! hapa nipochin "vibombonya ndio nn" alafu mpango kando haya majanga
 
Hapa serikali inalazimika kuwapima akili watumishi wake kwanza kabla ya kuajiri, na bado upo kwenye Payroll mpaka sasa. Tume ya Utumishi wa Umma mna kazi ya kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…