Huku JF Mie ndo namiliki mabinti wote kama ulikuwa hujui.... sema unamtaka nani kati ya
1.
ummu kulthum (mwembamba mrefu, mwandishi wa habari Nipashe)
2
Madame B (Mfupi mnene mweupe, Meneja wa vinywaji na chakula New Africa Hotel)
3.
charminglady (Yuko form two B Jangwani secondary)
4.
CUTE (Mwimba taarab wa TOT)
5.
beibe nasty (Mchezaji, twiga stars)
6.
Blue G (mwalimu wa nasare skuli)
7.
Preta (Askari Magereza, gereza la Keko)
8.
sweetlady (mwanakwaya St. Joseph)
9.
Blaki Womani (afisa uhusiano CRDB bank)
Niendelee au utachaguamo mmoja kati ya hao?