Edmond
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 359
- 54
Mimi men wa miaka 25 natafuta msichana wa kuanzia miaka 17-23 awe anajielewa urefu wa kawaida rangi ya kawaida awe simple kuhusu elimu haijalishi sana lakini cha msingi awe na elimu ya kufuta ujinga pia awe single
Single subiria wanao zaliwa sasa hivi, ila waliopo duniani kila mtu ana wake
