Yuuuuuuuuummy!!!!!!!!!! mpaka hapo mie nasamehe,nawaachia wenzangu mambo yakutafuta jeki yakuzuia tumbo huyo inachelewesha kazi........ha ha ha ha me sitaki wapenzi wengi nataka mmoja tu! Nkiweka picha si watakuja weng bule!
Nakuhakikishia hutampata hata mmoja huku. Hapa wanatafuta a MAN. Sasa kama wewe ni MEN, dah! Unazo mbili au?
Huku JF Mie ndo namiliki mabinti wote kama ulikuwa hujui.... sema unamtaka nani kati yahata ungeniakikshia kwa kuapa kujikata na kisu wewe sio Mungu ntapata tu! Labda uwe ndo mgawa wapenz apa jf, 2ambizane maana mie mgeni umu
You better go back and do your homework properly pal.....kaaazi kweli kweli lugha za watu bana inawezekana hajui maana ya mbyutiful
Huku JF Mie ndo namiliki mabinti wote kama ulikuwa hujui.... sema unamtaka nani kati ya
1. ummu kulthum (mwembamba mrefu, mwandishi wa habari Nipashe)
2 Madame B (Mfupi mnene mweupe, Meneja wa vinywaji na chakula New Africa Hotel)
3. charminglady (Yuko form two B Jangwani secondary)
4. CUTE (Mwimba taarab wa TOT)
5. beibe nasty (Mchezaji, twiga stars)
6. Blue G (mwalimu wa nasare skuli)
7. Preta (Askari Magereza, gereza la Keko)
8. sweetlady (mwanakwaya St. Joseph)
9. Blaki Womani (afisa uhusiano CRDB bank)
Niendelee au utachaguamo mmoja kati ya hao?
we Asprin tokea lini mwanaume akawa mbyutiful?hebu mtake radhi mwenzio.
kaaazi kweli kweli lugha za watu bana inawezekana hajui maana ya mbyutiful
Mimi men wa miaka 25 natafuta msichana wa kuanzia miaka 17-23 awe anajielewa urefu wa kawaida rangi ya kawaida awe simple kuhusu elimu haijalishi sana lakini cha msingi awe na elimu ya kufuta ujinga pia awe single
Nakuhakikishia hutampata hata mmoja huku. Hapa wanatafuta a MAN. Sasa kama wewe ni MEN, dah! Unazo mbili au?
Weka picha yako waione. Watajuaje kama wewe ni mbaya au mbyutiful?
Huku JF Mie ndo namiliki mabinti wote kama ulikuwa hujui.... sema unamtaka nani kati ya
1. ummu kulthum (mwembamba mrefu, mwandishi wa habari Nipashe)
2 Madame B (Mfupi mnene mweupe, Meneja wa vinywaji na chakula New Africa Hotel)
3. charminglady (Yuko form two B Jangwani secondary)
4. CUTE (Mwimba taarab wa TOT)
5. beibe nasty (Mchezaji, twiga stars)
6. Blue G (mwalimu wa nasare skuli)
7. Preta (Askari Magereza, gereza la Keko)
8. sweetlady (mwanakwaya St. Joseph)
9. Blaki Womani (afisa uhusiano CRDB bank)
Niendelee au utachaguamo mmoja kati ya hao?
umeona eeee!! nikiingia tu jamvini, naanza kuangaza ulipo, mtu na mtuwe babu eee!!!Hahahaha...kama mwanaume anaweza kuwa MEN, atashindwaje kuwa mbyutiful? Afu wifey bana kila napopita unafuata nyayo zangu? Wako wapi Yummy, BADILI TABIA na Kongosho? Waambie wasije hapa wasije wakanaswa na huyu mtongozaji wa dot com.
umeona eeee!! nikiingia tu jamvini, naanza kuangaza ulipo, mtu na mtuwe babu eee!!!
Huku JF Mie ndo namiliki mabinti wote kama ulikuwa hujui.... sema unamtaka nani kati ya
1. ummu kulthum (mwembamba mrefu, mwandishi wa habari Nipashe)
2 Madame B (Mfupi mnene mweupe, Meneja wa vinywaji na chakula New Africa Hotel)
3. charminglady (Yuko form two B Jangwani secondary)
4. CUTE (Mwimba taarab wa TOT)
5. beibe nasty (Mchezaji, twiga stars)
6. Blue G (mwalimu wa nasare skuli)
7. Preta (Askari Magereza, gereza la Keko)
8. sweetlady (mwanakwaya St. Joseph)
9. Blaki Womani (afisa uhusiano CRDB bank)
Niendelee au utachaguamo mmoja kati ya hao?
Sasa Kaka mbona hata unakotoka dini yako wala number ya cm wadada watavutiwaje na wewe?