Uneliza halafu umejijibu mwenyewe.Jf Bana mnawakashfu watu wanaotafuta wachumba but kutwa mpo humu
Sifa zote kuu hizo,just for dating?, hatuji sasa humu kuna wife materials tu a.k.a serious na ndoa, siyo wewe unataka utumie tuu,then hayo mabaki umwachie nani??[emoji12] [emoji12]JAMANI MM NATAFUTA MTU WA KUDATE NAE
AWE NA SHEP NA SURA NZURI AJE KWA PM
Mkuu huwezi kuiita I'd ya kughushi wakati hakuna sehemu wamesema unaposajili Jf uweke majina halisi. Angekuwa ameghushi kama angeweka I'd hiyo then ajifanye hilo ndio jina lake halisiNaelewa mkuu hujafanya lolote baya. Ila sidhani kama ukristu unakubaliana na matumizi ya identiy ya kughushi.
Amri inasema usiseme uongo. Hiyo pekee inatosha kukupa mwongozo pale unalokutana na sites zinazochangia kujisajili majina feki.Mkuu huwezi kuiita I'd ya kughushi wakati hakuna sehemu wamesema unaposajili Jf uweke majina halisi. Angekuwa ameghushi kama angeweka I'd hiyo then ajifanye hilo ndio jina lake halisi
Hapo uongo uko wapi mkuu, kuna mahali amesema hilo ni jina lake? Au jamiiforums wanatutaka tujiandikishe kwa majina yetu?Amri inasema usiseme uongo. Hiyo pekee inatosha kukupa mwongozo pale unalokutana na sites zinazochangia kujisajili majina feki.
Mbona unaguna bibieMnhhhh
Mbona unaguna bibie
Haha nadhani wamekusikiaMungu anaweza akafanya mkakutana na mke/mume kupitia JF!,nyie mnaolalamika hakumpata chuoni ama kusali ampate wake, mnadhania JF kuna mazimwi sio wanawake sisi?? Eti??...
MkuuHapo uongo uko wapi mkuu, kuna mahali amesema hilo ni jina lake? Au jamiiforums wanatutaka tujiandikishe kwa majina yetu?
Suala ni kwamba hakuna uongo, labda ungemuuliza Mtumishi kwa nini anajificha nyuma ya fekero lakini kwamba amedanganya hapanaMkuu
uongo ni kutumia jina lisilo lake.
Jf kukutaka utumie jina lako au la sio tija.
Ntamuuliza mkuuSuala ni kwamba hakuna uongo, labda ungemuuliza Mtumishi kwa nini anajificha nyuma ya fekero lakini kwamba amedanganya hapana
Nimesoma post za juu amekujibu lakiniNtamuuliza mkuu
Bado madamMkuu dreka, ulishapata chaguo lako?
Utapata tu,Bado madam
Karibu pm kwa mazungumzo zaidi.
Bado mkuuMkuu dreka, ulishapata chaguo lako?
Nawewe unatafuta ? Vigezo vyako ni vipi nijue kama naqualifyBado mkuu