Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Umri tu ndo umenipiga chenga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una miaka mingapi?Umri tu ndo umenipiga chenga.
25Una miaka mingapi?
Amin nduguMungu akupe hitaji LA Moyo wako
Ukimaanisha!?Yaani Wanawake sijui wanaichukuliaaje Dunia
Mlete mrejesho tafadhali,ili kama kweli nami nitafute jimama humu[emoji4]Tayari mkuu
Baba yetu aliye mbinguni nwenye kuzijua kesho yetu na shida zetu akakuangazie na kukutizama kwa huruma hata ukapate hitaji la moyo wako.Kunaye mtu mahala anakutafuta mtu kama wewe hivyo kuwa na amani na imani kuwa utapata.Wadau mimi ni mdada wa miaka 30 sasa, nina mtoto mmoja ana miaka 12,nilizaa katika umri mdogo ila ndo changamoto na nimekabiliana nayo,natafuta mwanaume ambaye atakuwa partner wangu wa maisha, atakayenipenda, nijali, kunihudumia na kujua majukumu yake katika familia, umri kuanzia 32-45, awe msafi na mwenye kujipenda kwa kifupi totally definition of a gentleman. Mengine tutaongea tukishafahamiana..... Nawasilisha!
Kam kweli basi tutafutane me naishi dar kimara barutiWadau mimi ni mdada wa miaka 30 sasa, nina mtoto mmoja ana miaka 12,nilizaa katika umri mdogo ila ndo changamoto na nimekabiliana nayo,natafuta mwanaume ambaye atakuwa partner wangu wa maisha, atakayenipenda, nijali, kunihudumia na kujua majukumu yake katika familia, umri kuanzia 32-45, awe msafi na mwenye kujipenda kwa kifupi totally definition of a gentleman. Mengine tutaongea tukishafahamiana..... Nawasilisha!