Natafuta mpenzi ambaye kama tukijaaliwa aje kuwa mume na baba wa watoto wangu

Natafuta mpenzi ambaye kama tukijaaliwa aje kuwa mume na baba wa watoto wangu

Ww dada unaakil cna umejfunza meng cna urahian mm ningekubl ila kigezo cha umr bdo mana km tupo sawa vle ila ww unajua maisha kwa ujumla
 
sita subutu kuoa mwanamke alie zaa namtu mwingine kwasababu wanajifanya kukutana kupanga mambo ya mtoto mara wametombana huku wapo kibao do sisubutu hata mjane make mtoto anaweza kuasio wamarehem naogopa masheee kinya
 
Yaani Mie Nataka kuoa atakeye nizidi walau miaka mi3-8 sasa naona Hapo Hata Sitaweza Kigezo Cha Umri
 
Wadau mimi ni mdada wa miaka 30 sasa, nina mtoto mmoja ana miaka 12,nilizaa katika umri mdogo ila ndo changamoto na nimekabiliana nayo,natafuta mwanaume ambaye atakuwa partner wangu wa maisha, atakayenipenda, nijali, kunihudumia na kujua majukumu yake katika familia, umri kuanzia 32-45, awe msafi na mwenye kujipenda kwa kifupi totally definition of a gentleman. Mengine tutaongea tukishafahamiana..... Nawasilisha!
Baba yetu aliye mbinguni nwenye kuzijua kesho yetu na shida zetu akakuangazie na kukutizama kwa huruma hata ukapate hitaji la moyo wako.Kunaye mtu mahala anakutafuta mtu kama wewe hivyo kuwa na amani na imani kuwa utapata.
 
Wadau mimi ni mdada wa miaka 30 sasa, nina mtoto mmoja ana miaka 12,nilizaa katika umri mdogo ila ndo changamoto na nimekabiliana nayo,natafuta mwanaume ambaye atakuwa partner wangu wa maisha, atakayenipenda, nijali, kunihudumia na kujua majukumu yake katika familia, umri kuanzia 32-45, awe msafi na mwenye kujipenda kwa kifupi totally definition of a gentleman. Mengine tutaongea tukishafahamiana..... Nawasilisha!
Kam kweli basi tutafutane me naishi dar kimara baruti
 
Wanaume acheni ujinga. Hv wooote mnaoomba kupewa pm mna uhakika mnaweza kupendwa woote. Hata hamjiulizi mbona haleti mrejesho wa kustopisha kwanza usaili ili awafanyie interview waliompm?
 
Back
Top Bottom