Natafuta mpenzi ambaye kama tukijaaliwa aje kuwa mume na baba wa watoto wangu

30-12=18 hongera kwa kutunza huo ndio muda ulikua Wa kutulia na mtu sasa duh unakaribia kuitwa mama Mkwe
 
Njoo pm tuyajenge maana naona hizo sifa niko nazo % 100
 
Baba yetu aliye mbinguni nwenye kuzijua kesho yetu na shida zetu akakuangazie na kukutizama kwa huruma hata ukapate hitaji la moyo wako.Kunaye mtu mahala anakutafuta mtu kama wewe hivyo kuwa na amani na imani kuwa utapata.
Amina kaka Mwenyezi Mungu akapate kusikia dua zako na kunitendea lililo jema[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] barikiwa sana kwa kuniombea.
 
Mkuu wewe hutaki wenye degree au masters ? maana wenzio kila wakija wanataka degree au masters sijuh wanajua hii ni Jamii forum University utadhani wanatafuta watu wa kuwapa ajira
 
Sio kila kitu tumeachana miaka mingi sana
Sababu iliyokufanya uachane na yule ndiyo hiyo hiyo itakufanya uachane na yeyote mwingine!
Bila shaka mpaka ufikishe 30 umeshaachana na wengine baada ya yule wa kwanza.
Ila nikupongeze kwa kuwa wazi kuhusu umri na MTOTO. Ila uwe wazi zaidi kuhusu elimu, kazi au shughuli ikupatiayo kipato. Wanaume wanataka msaidizi wa ukweli katika mambo yote wala si mzigo!
 
Zingatia umri sina muda wa kulea mwanaume ila nina muda wa kumuenzi mume
Mume mwenye umri Mdogo kuliko wewe haimaanishi ni wa kulelewa! Siku hizi MTU anamaliza chuo kikuu na miaka 23, kwa hiyo akiwa na 25-28 ni MTU mzima na kazi yake nzuri tu na amekamilisha mahitaji ya msingi katika maisha! Halafu kwa umri wako jua limekwenda sana hupaswi kuwa mchaguzi sana (ni ushauri tu samahani)! Vinginevyo utaishia kuwa single mother! Kwa umri wako Serengeti boys mwenye kazi yake ya kueleweka ni zaidi ya dhahabu!
 
Amina
 
safari njema, mtoto miaka 12, sasa miaka nane ijayo si atanigeukia huyo......vipi baba wa huyo mtoto! tabu inapo kuja, hayo mawasiliano mnayo endeleza na huyo baba wa mtoto, maana ni lazima aulize malezi ya mtoto wake, kama kidume, najisikiaje kidume kinapiga simu na kuulizia maendeleo ya mtoto wake, sometimes jokes nk.. tafuta mwanaume wewe ndio umuoe sio akuoe... single man tena fresh,,, itakwa mtiani hasa kwa karne hizi za magreat thinkers.
 
kwa hiyo lugha uliyo andika hapa, mwanaume yeyote yule anajua kabisa, wewe sio mke ni shiidddddddddddddddddaaa!!
 
Mkuu wewe hutaki wenye degree au masters ? maana wenzio kila wakija wanataka degree au masters sijuh wanajua hii ni Jamii forum University utadhani wanatafuta watu wa kuwapa ajira
Ahahaa.. Mkuu comment yako imenifurahisha sana, eti jamiiforum university.

Ila mkuu mimi nahisi huyu atakuwa ni mgeni kabisa jamiiforum na ndio maana bandiko lake liko tofauti sana na wenzake wanaokujaga na vigezo buku.

Na kwa sababu hii mimi na mbariki apate hitaji lake soon hili atuletee mrejesho.
 
Tatizo lake hana lugha nzuri,ukiona mwanamke anaandika neno kutombana bila kuweka kificho kidogo,mhhhhh! Malizia msomaji wewe.
 
Wanaume acheni ujinga. Hv wooote mnaoomba kupewa pm mna uhakika mnaweza kupendwa woote. Hata hamjiulizi mbona haleti mrejesho wa kustopisha kwanza usaili ili awafanyie interview waliompm?
Intelijensia huyo jipeleken huko pm mtarudi wachache
 
Mtetezi wetu..! Mmmhhhh bado sijapata maana kamili ya utetezi huu ni upi..!Loading
 
Sasa
Wee mdada unatuaibisha sisi wanaume wa mtaani kwako, hatua uliyofikia ni mbaya mno. Hebu anzia mtaani kwako kabla hujakimbilia mtandaoni.
Sasa huko mtaani atawagongea kwenye nyumba zzao aanze kuwaomba uchumba? nazani ingekuwa rahis kuwapata huko asingekuja hapa kwan wao hawajamuona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…