Natafuta mpenzi ambaye kama tukijaaliwa aje kuwa mume na baba wa watoto wangu

Ww dada unaakil cna umejfunza meng cna urahian mm ningekubl ila kigezo cha umr bdo mana km tupo sawa vle ila ww unajua maisha kwa ujumla
Ndalichako njoo huku
 
ukifika 30 hujaolewa ndio ishatoka hiyo ila all the best.
 
Hivi vyeti ingekuwa sio uhakiki ningekuwa nshaula
 
Nmekuja Mtetezi wenu
 
Kila mdada anayetafuta mume ana mtoto.
Msio na watoto kisha chini ya 25 njooni tafadhali.
 
Kila la kheri dada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…