Natafuta Mpenzi asiyependa Ngono

Natafuta Mpenzi asiyependa Ngono

Kwamba wachaga hatukuzaliwa na uume au unaongwa Nini?
Bwashee hivi hujui kuwa hata wadada wa kichaga wamegoma kuolewa na wanaume wachaga wenzao?

Jiongeze sasa na tangazo la kuwa rijali ila wachaga hampo siriasi ktk kugegeda
 
Hello guys!

Natafuta bint wa miaka 25-28, elimu form6 mpaka chuo, lengo ni kuanzisha uhusiano na mwishoe tuoane.. ila Moja ya mambo ambayo sipendi sana ni ngono za mara kwa mara.. naamini mapenzi ni zaidi ya ngono kuna furaha zaidi kwakupeana upendo wa mambo mengine kuliko ngono za mara kwa mara..

Umri wangu 35
Elimu yangu Degree( Ila nimejiajiri)
Kabila mchaga,
Naishi Dar es salaam,

Nieleweke vyema mm ni rijali tena sana tu ila sina asili ya kupenda ngono kivile yaan mm na weza kumaliza mwezi sina mihemuko ya kushobokea ngono ingawaje Kila week ukitaka sina shida.. na tukikutana nashughulika haswa mpaka utakimbia ila staki hilo tendo kila mara.

Naamini katika Maendeleo zaidi na kuzaa na kulea watoto.( Kama wewe unapenda sana Sex mimi siyo Chaguo lako?

Idadi ya watoto nitakaye zaa naye ni wa3 tu.. kama unataka zaidi siko tayari lengo langu wanangu wapate huduma zote kwa ufanisi (Elimu, Afya, Mavazi na makazi toshelevu) na nimejitadhimini idadi ya wa3 ndio Uwezo na msimamo wangu.

Kabila la bint liwe lolote .

Ukiwa interested njoo DM kukoment sana kwenye Thread hakuna afya njema kwa post yangu.
Huyo atakuwa rafiki km msingi ya urafiki ni ngono basi kipaumbele ni hicho
 
Kijana nenda hospital haraka Kwa vipimo una matatizo ya kiafya yani miaka 35 hupendi ngono ,sasa ukifika 45 c hata jogoo atakua hapandi

Kwanza kama mpaka 35 bado anakuja JF kutafuta mpenzi, tayari kuna tatizo.
 
Hili tangazo lipo kimkakati sana
 
wabongo kwenye vitu vya kijinga tunapenda kufanana yaani mtu ukiwa dhaifu, ukiona mtu mwingine sio dhaifu kama wewe inabidi umpakazie ubaya ili kulinda insecurities zako.. Pathetic !!

mbona ni kitu cha kawaida sex drive kutofautiana, kuna wengine siku haipiti
wengine wiki,wengine mwezi na wengine sex drive yao ipo low kiasi kwamba sex hawaioni kama big deal

wengine wapo na majukumu mengi na extremely busy. Sasa mtu anafanya kazi ya kumtoa saa 11, jioni anaunga kwenye biashara zake labda za kumtoa saa tano au saa sita. Huo muda wa kuwa obsessed na sex ataupata wapi kulinganisha na wewe unaetoka job straight kijiweni (napo kumejaa story za ngono), mpirani au bar kushtua mwili na wengine home kutazamana na mtu wako. Uanepukaje kuwaza ngono
 
Hello guys!

Natafuta bint wa miaka 25-28, elimu form6 mpaka chuo, lengo ni kuanzisha uhusiano na mwishoe tuoane.. ila Moja ya mambo ambayo sipendi sana ni ngono za mara kwa mara.. naamini mapenzi ni zaidi ya ngono kuna furaha zaidi kwakupeana upendo wa mambo mengine kuliko ngono za mara kwa mara..

Umri wangu 35
Elimu yangu Degree( Ila nimejiajiri)
Kabila mchaga,
Naishi Dar es salaam,

Nieleweke vyema mm ni rijali tena sana tu ila sina asili ya kupenda ngono kivile yaan mm na weza kumaliza mwezi sina mihemuko ya kushobokea ngono ingawaje Kila week ukitaka sina shida.. na tukikutana nashughulika haswa mpaka utakimbia ila staki hilo tendo kila mara.

Naamini katika Maendeleo zaidi na kuzaa na kulea watoto.( Kama wewe unapenda sana Sex mimi siyo Chaguo lako?

Idadi ya watoto nitakaye zaa naye ni wa3 tu.. kama unataka zaidi siko tayari lengo langu wanangu wapate huduma zote kwa ufanisi (Elimu, Afya, Mavazi na makazi toshelevu) na nimejitadhimini idadi ya wa3 ndio Uwezo na msimamo wangu.

Kabila la bint liwe lolote .

Ukiwa interested njoo DM kukoment sana kwenye Thread hakuna afya njema kwa post yangu.
Ulifanikiwa Blo?
 
Aisee Baba' angu, nakushauri endelea tu na hilo zoezi lako la kuishi single! Kwa huo mtazamo wako, aisee baba' angu utachapiwa kweli kweli!
 
Back
Top Bottom