Natafuta Mpenzi asiyependa Ngono

Natafuta Mpenzi asiyependa Ngono

Kaka umeandika point nzuri sana.. asana

Ingawaje mimi nimangalia uhakika wa watoto kula vizuri Kulala pazuri na matibabu bora though wewe umeangalia changamoto ya elimu pekee ila mimi nimeangalia Sector zote nanjinsi nitakavyo pambana wapate vyote kwa usawa mzuri ili wakue bila mm kuwa na stress za kukoza mahitaji yao.
Hivo ni vitu vidogo sana mkuu, mimi nimebase kwenye future ya wanao.

Na sijabase kwenye elimu tuu bali nimesema ruhusu wanao waexplore their full potential.
 
Nilitaka kuja ila baada ya kusikia hupendi ile statehe pendwa mmh nimerudi speed, kwahiyo utanioa nije kufua nguo na kupika tu? Aah mikito heavy ni muhimu. Kila rakheri mkuu
 
Hello guys!

Natafuta bint wa miaka 25-28, elimu form6 mpaka chuo, lengo ni kuanzisha uhusiano na mwishoe tuoane.. ila Moja ya mambo ambayo sipendi sana ni ngono za mara kwa mara.. naamini mapenzi ni zaidi ya ngono kuna furaha zaidi kwakupeana upendo wa mambo mengine kuliko ngono za mara kwa mara..

Umri wangu 35
Elimu yangu Degree( Ila nimejiajiri)
Kabila mchaga,
Naishi Dar es salaam,

Nieleweke vyema mm ni rijali tena sana tu ila sina asili ya kupenda ngono kivile yaan mm na weza kumaliza mwezi sina mihemuko ya kushobokea ngono ingawaje Kila week ukitaka sina shida.. na tukikutana nashughulika haswa mpaka utakimbia ila staki hilo tendo kila mara.

Naamini katika Maendeleo zaidi na kuzaa na kulea watoto.( Kama wewe unapenda sana Sex mimi siyo Chaguo lako?

Idadi ya watoto nitakaye zaa naye ni wa3 tu.. kama unataka zaidi siko tayari lengo langu wanangu wapate huduma zote kwa ufanisi (Elimu, Afya, Mavazi na makazi toshelevu) na nimejitadhimini idadi ya wa3 ndio Uwezo na msimamo wangu.

Kabila la bint liwe lolote .

Ukiwa interested njoo DM kukoment sana kwenye Thread hakuna afya njema kwa post yangu.
tafuta msenge au jamaa yako
 
Huku JF ipo mibibi ya 60 na 70 hii hata mbususu zao Zina kutu hivo ngono sio kipaumbele Chao Bali wanatafta mtu wamfie mda wowote. Take care!
 
Hello guys!

Natafuta bint wa miaka 25-28, elimu form6 mpaka chuo, lengo ni kuanzisha uhusiano na mwishoe tuoane.. ila Moja ya mambo ambayo sipendi sana ni ngono za mara kwa mara.. naamini mapenzi ni zaidi ya ngono kuna furaha zaidi kwakupeana upendo wa mambo mengine kuliko ngono za mara kwa mara..

Umri wangu 35
Elimu yangu Degree( Ila nimejiajiri)
Kabila mchaga,
Naishi Dar es salaam,

Nieleweke vyema mm ni rijali tena sana tu ila sina asili ya kupenda ngono kivile yaan mm na weza kumaliza mwezi sina mihemuko ya kushobokea ngono ingawaje Kila week ukitaka sina shida.. na tukikutana nashughulika haswa mpaka utakimbia ila staki hilo tendo kila mara.

Naamini katika Maendeleo zaidi na kuzaa na kulea watoto.( Kama wewe unapenda sana Sex mimi siyo Chaguo lako?

Idadi ya watoto nitakaye zaa naye ni wa3 tu.. kama unataka zaidi siko tayari lengo langu wanangu wapate huduma zote kwa ufanisi (Elimu, Afya, Mavazi na makazi toshelevu) na nimejitadhimini idadi ya wa3 ndio Uwezo na msimamo wangu.

Kabila la bint liwe lolote .

Ukiwa interested njoo DM kukoment sana kwenye Thread hakuna afya njema kwa post yangu.
Sema huna nguvu za kiume za kutosha game mfululizo hata week tu.
 
Hello guys!

Natafuta bint wa miaka 25-28, elimu form6 mpaka chuo, lengo ni kuanzisha uhusiano na mwishoe tuoane.. ila Moja ya mambo ambayo sipendi sana ni ngono za mara kwa mara.. naamini mapenzi ni zaidi ya ngono kuna furaha zaidi kwakupeana upendo wa mambo mengine kuliko ngono za mara kwa mara..

Umri wangu 35
Elimu yangu Degree( Ila nimejiajiri)
Kabila mchaga,
Naishi Dar es salaam,

Nieleweke vyema mm ni rijali tena sana tu ila sina asili ya kupenda ngono kivile yaan mm na weza kumaliza mwezi sina mihemuko ya kushobokea ngono ingawaje Kila week ukitaka sina shida.. na tukikutana nashughulika haswa mpaka utakimbia ila staki hilo tendo kila mara.

Naamini katika Maendeleo zaidi na kuzaa na kulea watoto.( Kama wewe unapenda sana Sex mimi siyo Chaguo lako?

Idadi ya watoto nitakaye zaa naye ni wa3 tu.. kama unataka zaidi siko tayari lengo langu wanangu wapate huduma zote kwa ufanisi (Elimu, Afya, Mavazi na makazi toshelevu) na nimejitadhimini idadi ya wa3 ndio Uwezo na msimamo wangu.

Kabila la bint liwe lolote .

Ukiwa interested njoo DM kukoment sana kwenye Thread hakuna afya njema kwa post yangu.
Matokeo ya mastabesheni haya
 
Tena inatuna hasa.. tatizo nikisha anza kufikiria Malengo yangu na aina ya maisha niliyo ipanga kichwani mwangu akili yote inaanza kuwaza michongo ya pesa. na nikiwa napambana kwenye mambo ya bishara huwa siwazi ngono kabisa

Usiwaze sana maisha utakufa mapema
 
Back
Top Bottom