Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Bwashee hivi hujui kuwa hata wadada wa kichaga wamegoma kuolewa na wanaume wachaga wenzao?Kwamba wachaga hatukuzaliwa na uume au unaongwa Nini?
HAHAHAHAHAHAHAHAA
Huyo atakuwa rafiki km msingi ya urafiki ni ngono basi kipaumbele ni hichoHello guys!
Natafuta bint wa miaka 25-28, elimu form6 mpaka chuo, lengo ni kuanzisha uhusiano na mwishoe tuoane.. ila Moja ya mambo ambayo sipendi sana ni ngono za mara kwa mara.. naamini mapenzi ni zaidi ya ngono kuna furaha zaidi kwakupeana upendo wa mambo mengine kuliko ngono za mara kwa mara..
Umri wangu 35
Elimu yangu Degree( Ila nimejiajiri)
Kabila mchaga,
Naishi Dar es salaam,
Nieleweke vyema mm ni rijali tena sana tu ila sina asili ya kupenda ngono kivile yaan mm na weza kumaliza mwezi sina mihemuko ya kushobokea ngono ingawaje Kila week ukitaka sina shida.. na tukikutana nashughulika haswa mpaka utakimbia ila staki hilo tendo kila mara.
Naamini katika Maendeleo zaidi na kuzaa na kulea watoto.( Kama wewe unapenda sana Sex mimi siyo Chaguo lako?
Idadi ya watoto nitakaye zaa naye ni wa3 tu.. kama unataka zaidi siko tayari lengo langu wanangu wapate huduma zote kwa ufanisi (Elimu, Afya, Mavazi na makazi toshelevu) na nimejitadhimini idadi ya wa3 ndio Uwezo na msimamo wangu.
Kabila la bint liwe lolote .
Ukiwa interested njoo DM kukoment sana kwenye Thread hakuna afya njema kwa post yangu.
Kijana nenda hospital haraka Kwa vipimo una matatizo ya kiafya yani miaka 35 hupendi ngono ,sasa ukifika 45 c hata jogoo atakua hapandi
Ulifanikiwa Blo?Hello guys!
Natafuta bint wa miaka 25-28, elimu form6 mpaka chuo, lengo ni kuanzisha uhusiano na mwishoe tuoane.. ila Moja ya mambo ambayo sipendi sana ni ngono za mara kwa mara.. naamini mapenzi ni zaidi ya ngono kuna furaha zaidi kwakupeana upendo wa mambo mengine kuliko ngono za mara kwa mara..
Umri wangu 35
Elimu yangu Degree( Ila nimejiajiri)
Kabila mchaga,
Naishi Dar es salaam,
Nieleweke vyema mm ni rijali tena sana tu ila sina asili ya kupenda ngono kivile yaan mm na weza kumaliza mwezi sina mihemuko ya kushobokea ngono ingawaje Kila week ukitaka sina shida.. na tukikutana nashughulika haswa mpaka utakimbia ila staki hilo tendo kila mara.
Naamini katika Maendeleo zaidi na kuzaa na kulea watoto.( Kama wewe unapenda sana Sex mimi siyo Chaguo lako?
Idadi ya watoto nitakaye zaa naye ni wa3 tu.. kama unataka zaidi siko tayari lengo langu wanangu wapate huduma zote kwa ufanisi (Elimu, Afya, Mavazi na makazi toshelevu) na nimejitadhimini idadi ya wa3 ndio Uwezo na msimamo wangu.
Kabila la bint liwe lolote .
Ukiwa interested njoo DM kukoment sana kwenye Thread hakuna afya njema kwa post yangu.
Tusio kizazi cha Adam tuko wengi 🤣Adam na Hawa walifukuzwa bustanini sababu ya ngono...
Labda kama wewe siyo kizazi chake...
Kila la kheri...
Nina maji mdomoni, nisije nikapaliwa mpaka nife...Tusio kizazi cha Adam tuko wengi 🤣
Hiyo ni tafsiri yako, siyo iliyokusudiwa na mandiko.. Usipotoshe Uma.. kama unapenda ngono just ngonoka dada hatuwezi kuwa sex addicted woteAdam na Hawa walifukuzwa bustanini sababu ya ngono...
Labda kama wewe siyo kizazi chake...
Kila la kheri...